Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Sinaga rafiki mimi,huwa nafurahi zaidi ninapo kuwa peke angu,niliwahi kuwa na marafiki kipindi cha nyuma sana ila kwa sasa ,i walk alone

Rafiki wa kweli ni pesa yako tu,
Mkuu pesa Ina umuhimu mkubwa. Ila marafiki pia Wana nafasi yao.
👉Kuna muda utahitaji uwepo wao, I we kiushauri, faraja.
 
Gily Gru usome maarifa haya💪
Tunapenda sana kufanana na marafiki zetu. Ukiwa na rafiki malaya na wewe utataka tu kuwa side mnyamwezi.

Marafiki wengine wanaturudisha sana nyuma. Ni mda wa kuwa na marafiki positive

Recently nilipata rafiki mpya Jose. Kaniangusha kweli nimesikitika. Nilikuwa nina matarajio makubwa kichwani mwangu. Ila nimegundua ni aina ya watu wasiotaka kubadilika.

Mfano mdogo tu kuna watu wanashinda mtandaoni kutwa nzima ila hawawazi hata faida yake ni nini. Hopeless wakati wengine wanapoteza mda na social media wengine wako relini kutengeneza pesa. Mtu mpaka uje kuamka muda unaenda na siku zako umezipoteza jwa mambo ya kijinga

Nataka nikushauri, binafsi hapa JF nimebahatika kufahamiana na watu baadhi. Urafiki wangu na wao ni wa manufaa makubwa. Wakati wengine wanachat from morning to evening na wanapita na minyuzi isiyo ya maana

At 25 ninaishi kwangu nina two houses.l Dar mjini sio nje ya mji. Siamini maendeleo ni nyumba la hasha. Naamini kuwa unaacha alama kila unachokifanya ( my point exactly). Sijisifu ila siri ya maisha ni hii:
1. Marafiki positive wenya faida
2. Uwe na business zaidi ya moja excess income

mshamba_hachekwi huyu kijana ni smart sana nimeona kikubwa sana ndani yake. Yupo kwenye kundi la watu wanaopoteza mda mtandaoni ila uzuri nasaha zangu anazielewa. Mdogo wangu mshamba usikasirike ukiambiwa ukweli pokea ni faida kwako.


Shukrani kwa Tagging Intelligent businessman nimefurahia huu uzi sana
 
Tunapenda sana kufanana na marafiki zetu. Ukiwa na rafiki malaya na wewe utataka tu kuwa side mnyamwezi.

Marafiki wengine wanaturudisha sana nyuma. Ni mda wa kuwa na marafiki positive

Recently nilipata rafiki mpya Jose. Kaniangusha kweli nimesikitika. Nilikuwa nina matarajio makubwa kichwani mwangu. Ila nimegundua ni aina ya watu wasiotaka kubadilika.

Mfano mdogo tu kuna watu wanashinda mtandaoni kutwa nzima ila hawawazi hata faida yake ni nini. Hopeless wakati wengine wanapoteza mda na social media wengine wako relini kutengeneza pesa. Mtu mpaka uje kuamka muda unaenda na siku zako umezipoteza jwa mambo ya kijinga

Nataka nikushauri, binafsi hapa JF nimebahatika kufahamiana na watu baadhi. Urafiki wangu na wao ni wa manufaa makubwa. Wakati wengine wanachat from morning to evening na wanapita na minyuzi isiyo ya maana

At 25 ninaishi kwangu nina two houses.l Dar mjini sio nje ya mji. Siamini maendeleo ni nyumba la hasha. Naamini kuwa unaacha alama kila unachokifanya ( my point exactly). Sijisifu ila siri ya maisha ni hii:
1. Marafiki positive wenya faida
2. Uwe na business zaidi ya moja excess income

mshamba_hachekwi huyu kijana ni smart sana nimeona kikubwa sana ndani yake. Yupo kwenye kundi la watu wanaopoteza mda mtandaoni ila uzuri nasaha zangu anazielewa. Mdogo wangu mshamba usikasirike ukiambiwa ukweli pokea ni faida kwako.


Shukrani kwa Tagging Intelligent businessman nimefurahia huu uzi sana
Moja Kati ya watu ninao wakubali ni wewe💪 Gily Gru huwa una waza nje ya box.
👉 Talking about mshamba_hachekwi nili mwona pia, tuna ideas na philosophy baadhi Zina endana.
👉Kuhusu umiliki wa biashara zaidi ya 1, Hilo ni muhimu zaidi ya Sana.
👉Kudos to you mkuu Gily Gru lazima meza ipinduke💪
 
Tia neno lako au ushauri, vijana lituongoze.
Naam! Kitu muhimu katika kuhusiana na watu iwe ni ndugu, marafiki, mwenza ni kubalance MATARAJIO. Wengi tunajikuta kwenye maumivu na majuto kwasababu tunatarajia mambo chanya tu kutoka kwao tunasahau kwamba human being are selfish in nature. Unapokuwa na jambo lako hakikisha unajipa wewe asilimia 95 za kulifanikisha na zinazobaki kama utasaidiwa na wengine its fine na kama hawatakusaidia utakuwa umesogea. Kuliko una jambo lako unategemea 50% usaidiwe na watu lazima ikugharimu kwa njia moja ama nyingine.
Tupunguze expectations kutoka kwa marafiki.
 
Naam! Kitu muhimu katika kuhusiana na watu iwe ni ndugu, marafiki, mwenza ni kubalance MATARAJIO. Wengi tunajikuta kwenye maumivu na majuto kwasababu tunatarajia mambo chanya tu kutoka kwao tunasahau kwamba human being are selfish in nature. Unapokuwa na jambo lako hakikisha unajipa wewe asilimia 95 za kulifanikisha na zinazobaki kama utasaidiwa na wengine its fine na kama hawatakusaidia utakuwa umesogea. Kuliko una jambo lako unategemea 50% usaidiwe na watu lazima ikugharimu kwa njia moja ama nyingine.
Tupunguze expectations kutoka kwa marafiki.
Nime kuelewa kwa kina mkuu🙏💪
 
Back
Top Bottom