Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Ifahamike swala la Elimu ya msingi kwa sasa lipo vizuri sana naipongeza serikali.
Kiongozi yeyote atakae weza kutatua tatizo la ajira kwa kujenga viwanda kisha kuwaajili watu pasipo upendeleo.
Nasema Hivi huyo atashinda hata urais kwa chaguzi zijazo.
Kwa nini? Ikiwa rundo kubwa ni la vijana ndio hawapigi kura sababu ya kukata tamaaa ajira hamna wanaona muda wa kwenda kituoni kupiga kura ni bora nikauze karanga stend, au muda wa kwenda kujiandikisha / rekebisho daftari la kudumu la wapiga kura ni bora nikauze zabibu.
Sasa kiongozi anaetaka ushindi mzuri hasa kutoka kwa vijana hawa, awakomboe kwakile kinacho wa keepbusy kwa kujenga viwanda, awaajili tena kwa sharti kila mmoja lazima apate kadi ya kupiga kura (nazani uandikishaji utafanyika 2024) tena iwe karibu na eneo la kazi, ndani ya kiwanda hicho wawe wanapewa Elimu ya umuhimu wa kupiga kura Mara moja per month.
Sio tu watu mnajenga shule eti zitakuwa za misaada kwa watoto, wakati Elimu ishakuwa bure (msaada). Mnakazania kutengeneza maenjoy mengi kwa watoto nia mpate mvuto wa uongozi huku mnawaacha baba na mama wa watoto hao mnao wataka kwenye hizo enjoi zenu wakisota kutafuta mkate wa siku bila mafanikio.
Mnawadangadanganya na hizo enjoi zenu wakati watoto hao hata hawajui kadi ya kupiga kura ndo nini.
Mgomboe wazazi wa hao watoto mnao wataka kwenye maenjoi yenu ili wazazi hao wapate kuwapa Elimu ya baadae kuhusu upigaji kura na namna ya kuchagua kiongozi bora kwa Taifa, na sio BORA kiongozi.
Kiongozi yeyote atakae weza kutatua tatizo la ajira kwa kujenga viwanda kisha kuwaajili watu pasipo upendeleo.
Nasema Hivi huyo atashinda hata urais kwa chaguzi zijazo.
Kwa nini? Ikiwa rundo kubwa ni la vijana ndio hawapigi kura sababu ya kukata tamaaa ajira hamna wanaona muda wa kwenda kituoni kupiga kura ni bora nikauze karanga stend, au muda wa kwenda kujiandikisha / rekebisho daftari la kudumu la wapiga kura ni bora nikauze zabibu.
Sasa kiongozi anaetaka ushindi mzuri hasa kutoka kwa vijana hawa, awakomboe kwakile kinacho wa keepbusy kwa kujenga viwanda, awaajili tena kwa sharti kila mmoja lazima apate kadi ya kupiga kura (nazani uandikishaji utafanyika 2024) tena iwe karibu na eneo la kazi, ndani ya kiwanda hicho wawe wanapewa Elimu ya umuhimu wa kupiga kura Mara moja per month.
Sio tu watu mnajenga shule eti zitakuwa za misaada kwa watoto, wakati Elimu ishakuwa bure (msaada). Mnakazania kutengeneza maenjoy mengi kwa watoto nia mpate mvuto wa uongozi huku mnawaacha baba na mama wa watoto hao mnao wataka kwenye hizo enjoi zenu wakisota kutafuta mkate wa siku bila mafanikio.
Mnawadangadanganya na hizo enjoi zenu wakati watoto hao hata hawajui kadi ya kupiga kura ndo nini.
Mgomboe wazazi wa hao watoto mnao wataka kwenye maenjoi yenu ili wazazi hao wapate kuwapa Elimu ya baadae kuhusu upigaji kura na namna ya kuchagua kiongozi bora kwa Taifa, na sio BORA kiongozi.