Jengo la 88 Nairobi ambalo litakuwa na ghorofa 44, zege limeanza kumwagwa kwenye foundation

Majengo yenu yana tabia ya kuanguka wakati ujenzi ukiendelea!

Yaani mimi hapa mzawa wa mjini na nimeishi sana maisha ya kimjini ila siku hizi kila nikiingia mjini najiona mshamba, majengo marefu tena yenye kupendeza yametaradadi kote kote hadi raha, na bado ujenzi unanendelea kwa kasi, hii Kenya itafunika sana kwa kweli.
 
Sasa ghorofa refu linasaidia nn
 
Sorry aisee ndiyo naangalia huku juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu uzi ulianzishwa kwa sababu ya hii project yenye 44 floors....hadi sasa ujenzi umefikia hapa [emoji16][emoji16]View attachment 1906707View attachment 1906708
Kuna kitu nilikuwa najiuliza, kwanini kila mnachojenga kinashindwa kubadili taswira ya mji wenu? Nafikiri hili swali Wakenya wengi including you mnajiuliza na jibu hampati, jibu lake ni moja kwamba elimu imeshindwa kumsaidia mkenya.
 
Kuna kitu nilikuwa najiuliza, kwanini kila mnachojenga kinashindwa kubadili taswira ya mji wenu? Nafikiri hili swali Wakenya wengi including you mnajiuliza na jibu hampati, jibu lake ni moja kwamba elimu imeshindwa kumsaidia mkenya.
ehe look at you🙈,hukosangi kutoa machungu yako kukipostiwa anything Good about Kenya, because you can never reach our level,every month something new,hehehe🇰🇪✊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…