I liked the design of it [emoji106].Wala sio jengo moja....ni project ya majengo tisa yenye 34 floors.so inamaana hii project pekee itakua na majengo mengi yenye floors zaidi ya thirty kuliko Tz kwa ujumlaView attachment 1906695
dont worry upper hill will construct the 75 storey building called kingdom city achana na hiyo yao..
View attachment 1907160View attachment 1907164View attachment 1907166
Wanyonge kweli, hawajiamini..,Yani hata Huu uzi wameleta ligi? Watanzania na inferiority complex hawajambo.
Lita lita lita. Nimechoka kusikia wimbo huu wa chekechea.We are not in the same league. Hii jengo litajengwa Zanzibar View attachment 1907455
Don't you know? It's the tallest building in the whole of Tanganyika
Do you even know the exact location where it will be built? πππWe are not in the same league. Hii jengo litajengwa Zanzibar View attachment 1907455
Kwani hili jengo linajengwa baharini?!...[emoji52][emoji52][emoji706][emoji75][emoji75]We are not in the same league. Hii jengo litajengwa Zanzibar View attachment 1907455
Bora nyie wenzetu, mna maghorofa mweleka [emoji13][emoji13][emoji13]Lita lita lita. Nimechoka kusikia wimbo huu wa chekechea.
Design ya Burj Al Arab, although burj haiko katikati ya maji ka hiyo inavyoonekana. So hapo kwanza ni kujenga artificial island kwanza, itakayoweza kuzuia uzito wa hiyo structure. Mambo ya Emirates hayo, wamuulize mzungu ndio vituko vyake kwa anga za majengo ka haya!Kwani hili jengo linajengwa baharini?!...[emoji52][emoji52][emoji706][emoji75][emoji75]
Hapo kwa elimu sasa! π€£ π€£ π€£ πKuna kitu nilikuwa najiuliza, kwanini kila mnachojenga kinashindwa kubadili taswira ya mji wenu? Nafikiri hili swali Wakenya wengi including you mnajiuliza na jibu hampati, jibu lake ni moja kwamba elimu imeshindwa kumsaidia mkenya.
Sio poa mazee! π π π π π π π πProfile picture yako ni mkenya amesoma incase you forgot
Blackouts KE, you're a big fool, huko kwenyu ndio taabu ya stima kupotea! π€£ π€£ π€£ π€£Wakati mnajenga vighorofa viwili vitatu vitakavyokuja kukaliwa na foreigners, wanaume tunamalizia miradi yetu ya kimkakati itakayomkwamua mwananchi na ugumu wa maisha, Wakenya tazama limradi la ki giant hilo hii inaitwa JNHPP au mkombozi wa EA cz atatusaidia sisi pia na nyie tutawauzia umeme muondokane na stupid endless blackouts[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1897065View attachment 1897067View attachment 1897068View attachment 1897069View attachment 1897070
My take: GoK isijaribu kuiga mambo kama haya itauwa wananchi wake, usiige tembo kukunya mafi makubwa, wewe endelea kukunya mafi madogo madogo kwa mfuko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Man, thanks for these glorious pictures.River estate project November updates....so far majengo matano yako juu huku hayo mengine manne yakiwa kwenye foundation stageView attachment 2010587View attachment 2010589