Jengo la 88 Nairobi ambalo litakuwa na ghorofa 44, zege limeanza kumwagwa kwenye foundation

Jengo la 88 Nairobi ambalo litakuwa na ghorofa 44, zege limeanza kumwagwa kwenye foundation

View attachment 1906846
Sio urefu tu na urembo pia, tunakuja jirani

Wazanzibar ni watu wenye bidii sana, uzuri wao hawana chuki za kijinga kama kwenu, nawatakia kila la heri. Huwa nawapenda sana Wazenji na sku wataruhusu uraia pacha lazima nitakua wa kwanza kuwaomba tena bila kukata tamaa, niliishi kwao huko na kuwapenda sana kwa ukarimu wao.
 
Mtu kapagawa na jengo anaanza kuitoa Zanzibar from Tanzania mapemaaaa, Wakenya sisi watanzania sio washamba wa haya mambo ndio maana unaona vitu kama hivi hatuvifungulii uzi, hili hapa ni ghorofa refu zaidi East and Central Africa and the second tallest building in Africa, litajengwa Tz kwa gharama ya zaidi ya $1bn na wala hatujisifu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1304861720.jpg
 
Wazanzibar ni watu wenye bidii sana, uzuri wao hawana chuki za kijinga kama kwenu, nawatakia kila la heri. Huwa nawapenda sana Wazenji na sku wataruhusu uraia pacha lazima nitakua wa kwanza kuwaomba tena bila kukata tamaa, niliishi kwao huko na kuwapenda sana kwa ukarimu wao.
Ni watanzania visiwani
 
Kuna kitu nilikuwa najiuliza, kwanini kila mnachojenga kinashindwa kubadili taswira ya mji wenu? Nafikiri hili swali Wakenya wengi including you mnajiuliza na jibu hampati, jibu lake ni moja kwamba elimu imeshindwa kumsaidia mkenya.
Boss wacha kuongea matope. Hii River estate project pekee ina majengo marefu mengi kushinda Dar nzima. Na hata hatujaongea kuhusu GTC towers wala hii 88 tower. Na hapa nazungumzia residential towers pekee. Bado hata sijaanza kuzungumza kuhusu office towers kama akina Britam na UAP. So tuliza mwasho. Huu mchezo hautaki ujuaji mwingi.
 
Boss wacha kuongea matope. Hii River estate project pekee ina majengo marefu mengi kushinda Dar nzima. Na hata hatujaongea kuhusu GTC towers wala hii 88 tower. Na hapa nazungumzia residential towers pekee. Bado hata sijaanza kuzungumza kuhusu office towers kama akina Britam na UAP. So tuliza mwasho. Huu mchezo hautaki ujuaji mwingi.
Umeshasahau tayari ile ligi ya maghorofa marefu Dar ilishachapa Nairobi, au nikukumbushe mzee.
 
Mtu kapagawa na jengo anaanza kuitoa Zanzibar from Tanzania mapemaaaa, Wakenya sisi watanzania sio washamba wa haya mambo ndio maana unaona vitu kama hivi hatuvifungulii uzi, hili hapa ni ghorofa refu zaidi East and Central Africa and the second tallest building in Africa, litajengwa Tz kwa gharama ya zaidi ya $1bn na wala hatujisifu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1907045

wakenya kwa kupenda ligi WATACHORA THE TALLEST BUILDING IN AFRICA na wataliweka kenya.
 
Mtu kapagawa na jengo anaanza kuitoa Zanzibar from Tanzania mapemaaaa, Wakenya sisi watanzania sio washamba wa haya mambo ndio maana unaona vitu kama hivi hatuvifungulii uzi, hili hapa ni ghorofa refu zaidi East and Central Africa and the second tallest building in Africa, litajengwa Tz kwa gharama ya zaidi ya $1bn na wala hatujisifu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1907045
Tuta tuta tuta. Sisi tunazungumza kuhusu ujenzi unaoendelea kwa ground na nyinyi mnapost hapa render. Hata hamna aibu.
 
Umeshasahau tayari ile ligi ya maghorofa marefu Dar ilishachapa Nairobi, au nikukumbushe mzee.
Wapi! Katafute mtu mwingine wa kudanganya. Saa hii Nairobi imeifunika Dar mara kadhaa kwa majengo marefu. Na hizi residential towers (88, River estate na zingine) zitakapokamilika sasa ndio hamtatuona kabisa.
 
Huo ni mchoro wa jengo jipya refu na kisasa zaidi katika ukanda huu linalokaribia kuanza kujengwa Zanzibar hivi karibuni. Bahati mbaya liko Tanzania na sio kenya.
Hawapendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Linajengwa Tanzania hilo, litakuwa the second tallest building in Africa na litakuwa na ghorofa 70 na urefu wa mita 385, litagharimu zaidi ya $1bn.
Lita lita lita. Tuta tuta tuta. Hii imekuwa wimbo wa chekechea. Sisi Wakenya hatupost render tunapost picha ya ujenzi wenyewe unavyoendelea.
 
Lita lita lita. Tuta tuta tuta. Hii imekuwa wimbo wa chekechea. Sisi Wakenya hatupost render tunapost picha ya ujenzi wenyewe unavyoendelea.
Sasa mbn makasiriko bwana Tony, wewe si unatujua sisi akili kubwa na huwa hatuongopi!!
 
Huo ni mchoro wa jengo jipya refu na kisasa zaidi katika ukanda huu linalokaribia kuanza kujengwa Zanzibar hivi karibuni. Bahati mbaya liko Tanzania na sio kenya.
Uje upost mradi huo pindi tu ujenzi utakapoanza. Ila kwa sasa hatutaki hadithi za Abunuasi katika uzi huu. Hapa tunapost miradi ambayo ujenzi ushaanza pekee.
 
Back
Top Bottom