Jengo la 88 Nairobi ambalo litakuwa na ghorofa 44, zege limeanza kumwagwa kwenye foundation

Jengo la 88 Nairobi ambalo litakuwa na ghorofa 44, zege limeanza kumwagwa kwenye foundation

January updates
Screenshot_20220121-115620.jpg
 
Jengo hili ndilo litakuwa tallest residential tower in Africa. Yaani jengo refu zaidi ya makaazi Africa. Kuna watu watakuwa wakiishi kuanzia floor ya chini hadi ya juu kabisa ya 44.

Jengo lenyewe litafanana hivi litakapokamilika


Video ya zege kumwagwa kwenye foundation ndio hii


Sijawahi kuona msingi wa gholofa, lakini kwa umwagaji huo wa zege kweli 44 zitafika na kuwa imara?
 
Mpaka lije kuisha wakikuyu watakuwa wameiba sana...
 
Jengo hili ndilo litakuwa tallest residential tower in Africa. Yaani jengo refu zaidi ya makaazi Africa. Kuna watu watakuwa wakiishi kuanzia floor ya chini hadi ya juu kabisa ya 44.

Jengo lenyewe litafanana hivi litakapokamilika


Video ya zege kumwagwa kwenye foundation ndio hii


Tukufahamishe tu.. nchi za magharibi wameacha kujenga haya magorofa kwani mengi yamebaki empty yanageuka kuwa magofu
Wewe upo hapa unajivuna na magorofa
Dunia inaenda kasi people work from home mabadiliko ya tabia nchi earthquake nk watu wamesitisha ujenzi wa aina hii..

Wakenya washamba malimbukeni
Jengeni zije kuishi ndege na popo
 
Tukufahamishe tu.. nchi za magharibi wameacha kujenga haya magorofa kwani mengi yamebaki empty yanageuka kuwa magofu
Wewe upo hapa unajivuna na magorofa
Dunia inaenda kasi people work from home mabadiliko ya tabia nchi earthquake nk watu wamesitisha ujenzi wa aina hii..

Wakenya washamba malimbukeni
Jengeni zije kuishi ndege na popo
Wivu..Nani alikuambia hilo jengo litakua la ofisi?Unataka tuwache kujenga juu wnegine wameacha?Kila nchi liko na lengo lake la kujenga...kama walishindwa wacha sisi tujaribu..
 
Tukufahamishe tu.. nchi za magharibi wameacha kujenga haya magorofa kwani mengi yamebaki empty yanageuka kuwa magofu
Wewe upo hapa unajivuna na magorofa
Dunia inaenda kasi people work from home mabadiliko ya tabia nchi earthquake nk watu wamesitisha ujenzi wa aina hii..

Wakenya washamba malimbukeni
Jengeni zije kuishi ndege na popo
Kama nyinyi zenu zimebaki mahame usidhani kwamba huku kwetu hazitapata wateja. Usilete laziness yenu kwa Kenya. Sisi ni watu aggresive na hili jengo litajaa. Kwanza hili hata sio office tower. Hili ni residential tower ya watu kuishi. Punguza kiherehere.
 
Tukufahamishe tu.. nchi za magharibi wameacha kujenga haya magorofa kwani mengi yamebaki empty yanageuka kuwa magofu
Wewe upo hapa unajivuna na magorofa
Dunia inaenda kasi people work from home mabadiliko ya tabia nchi earthquake nk watu wamesitisha ujenzi wa aina hii..

Wakenya washamba malimbukeni
Jengeni zije kuishi ndege na popo
Pale Dar most towers hazina wateja ni popo wamefanya makao yao humo kwa wingi kulikoni? niko na intelligence kuhusu Dar mikononi mwangu😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom