Unasema kiufupi wana nidhamu ya Hali ya juu na "integrity " isiyo na shaka lolote? Na vipi kuhusu kuchagua kwa umakini je watu wanaapply au wao wanachagua watu na kuwasimika?Ni jumuiya ya siri yenye wanachama wa kuchaguliwa kwa uangalifu mkubwa sana na baadhi ya vigezo ni
1. Uwezo was kifedha
2. Nidhamu ya hali ya juu kwenye kila kitu
3. Cycle ya watu wako
4. Usiri
5. Ukimya
6. Imani kwa Mungu
7. Rekodi zero ya kashfa na mambo ya kesi
8. Uwezo wa akili ( hawachukui watu wajingajinga
9. Heshima na adabu kwa watu wa kaliba zote
10. Kujituma kwenye kila kitu nknk
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakuwa picked baada ya kufanyiwa screening ya kutosha.. Kisha wanapewa ofa ya kujiunga ikiambatanishwa na faida mtu atakazipataUnasema kiufupi wana nidhamu ya Hali ya juu na "integrity " isiyo na shaka lolote? Na vipi kuhusu kuchagua kwa umakini je watu wanaapply au wao wanachagua watu na kuwasimika?
Ndio mkuu,Unaruhusiwa kuingia na kuwauliza maswali?
Usiogope hiyo Sio kambi ya jeshiUnaruhusiwa kuingia na kuwauliza maswali?
Ndio limeandikwa mkuu. ila ni ngumu kukuta mtu wa maana pale labda wafagizi na wakata majani ndo unaweza kuwasoma mara chache.Mna swali kidogo
Mmelijuaje kama ni jengo la hao mabwana, au limeandikwa,
natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au?
Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
[emoji106][emoji106]Unatamani kujua nani anagharamia ujenzi kwani hilo hall linaendeshwa na nani??
Mkirekebisha misikiti na makanisa yenu nani anawachunguza na kutaka kujua gharama?
Na hizo taratibu wataka kuzijua ni za nini?
Wacha tamaa wewe utakuja bakwa na hao matapeli.Mara ya kwanz napita hapo niko mdogo niliogopa sana, Lakini sahivi nahitaji kuwajua zaidi nione kama wanacho cha kuninufaisha.
[emoji44][emoji44][emoji44]CCM wanataka kututoa kafara Mbwa hawa
Linajulikana sana ukifika hapo posta. Isitoshe halipo mafichoni, lipo karibu na ofisi za serikali kama BOT nk.Mna swali kidogo
Mmelijuaje kama ni jengo la hao mabwana, au limeandikwa,
Alikuwa anatetemeka wasimuone.Ulishindwa kupiga picha au kuchukua video?
Moja ya jengo lilowahingia ndani na kuona kulivyoJengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.
View attachment 2777860
Na halijafichaJengo linaitwa Freemason hall, lipo posta mpya karibu na BOT
OK, ni vigezo ulivyovitaja ndiyo hutumiwa Sana yaani ukwasi, uwezo wa kupambanua mambo na nidhamu?Wanakuwa picked baada ya kufanyiwa screening ya kutosha.. Kisha wanapewa ofa ya kujiunga ikiambatanishwa na faida mtu atakazipata
Sent using Jamii Forums mobile app