Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

Ni jumuiya ya siri yenye wanachama wa kuchaguliwa kwa uangalifu mkubwa sana na baadhi ya vigezo ni
1. Uwezo was kifedha
2. Nidhamu ya hali ya juu kwenye kila kitu
3. Cycle ya watu wako
4. Usiri
5. Ukimya
6. Imani kwa Mungu
7. Rekodi zero ya kashfa na mambo ya kesi
8. Uwezo wa akili ( hawachukui watu wajingajinga
9. Heshima na adabu kwa watu wa kaliba zote
10. Kujituma kwenye kila kitu nknk

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema kiufupi wana nidhamu ya Hali ya juu na "integrity " isiyo na shaka lolote? Na vipi kuhusu kuchagua kwa umakini je watu wanaapply au wao wanachagua watu na kuwasimika?
 
Nilikuwa najamaa yangu pale Sayona kama vibarua maisha yalitutandika hadi tukaenda kwenye hilo jengo Lao. Ukifika Nia na madhumuni yako unawaeleza walinzi getini wako poa na majibu yote ya namna ya kuunganishwa wanakueleza huwezi kujiunga wewe mwenyewe kisa unataka.
 
Unasema kiufupi wana nidhamu ya Hali ya juu na "integrity " isiyo na shaka lolote? Na vipi kuhusu kuchagua kwa umakini je watu wanaapply au wao wanachagua watu na kuwasimika?
Wanakuwa picked baada ya kufanyiwa screening ya kutosha.. Kisha wanapewa ofa ya kujiunga ikiambatanishwa na faida mtu atakazipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatamani kujua nani anagharamia ujenzi kwani hilo hall linaendeshwa na nani??

Mkirekebisha misikiti na makanisa yenu nani anawachunguza na kutaka kujua gharama?

Na hizo taratibu wataka kuzijua ni za nini?
[emoji106][emoji106]
 
Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?

Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.

Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.

View attachment 2777860
Moja ya jengo lilowahingia ndani na kuona kulivyo
 
Back
Top Bottom