Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

Nani anakuunganisha mkuu
 
Unamaanisha Wakatoliki ni wanachama tayari kwa Itikadi yao?
 
Liko posta sehemu gani? nikitaka kwenda kujiunga nitafanikiwa?
Pale hamna ofisi yenye mtu na huoni mtu hata siku moja

Hulitumia lini na saa ngapi huwezi jua
Hilo jengo lilikuwa jengo.linalotumiwa na bunge wakati wa mkoloni mwingereza wakati anatawala Tanganyika baada ya kupata uhuru ndio bunge likahamia jengo la Karimjee sasa liko Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…