Watakuwa na sehemu wanakoingilia hakujulikani sababu huwezi waona wakiingia wala kutoka au labda huingia usiku sana kukiwa hakuna watuMakadirio ya idadi ya viti? Je kuna sehemu wanapitia kuingia au hapohapo kwenye geti lao
Unaingia tu, kuomba uanachama kama huna vigezo wanatakuondoa. Usiwe muoga. Huwa kama vile hapana watu ila ukiingia unaweza ukakutana na mashemasi wao humo wanaandaa ibada wakakuelekeza.Mimi Siyo mwandishi wa habari, tumtume Millard Ayo!!
Mna swali kidogo
Mmelijuaje kama ni jengo la hao mabwana, au limeandikwa,
Mbona fensi ya kichovu hawaogopi majambaka.
Viti vinafika 60 ,kila upande una viti 30, kwa gari unaingia getini,ndani kuna picha za makumbusho ya lodges zao ,Makadirio ya idadi ya viti? Je kuna sehemu wanapitia kuingia au hapohapo kwenye geti lao
Natamani niweke picha nikiwa humo ndani kwenye kiti chao ,na picha nikiwa na Sir Andy
...Naona Hata Picha TU umeipiga Kioga... !!Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.
View attachment 2777860
We mwongo mwongo sjui ukoje.Kwa kawaida tu mkuu wa kaya huwa mwanachama
Gharama za ujenzi wa nyumba za ibada huwa nani anagharamia.Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.
View attachment 2777860
Ni kweli haelewi, but ndo uhalisia ulivyo, ile ni taasisi pana sana.Lazima upinge si haujui
Freemasons hawana huo ujinga,, hao ni matapeli kama matapeli wengine tu.Wapigie kwenye nguzo za umeme kuna namba za simu
Please share [emoji1545]Natamani niweke picha nikiwa humo ndani kwenye kiti chao ,na picha nikiwa na Sir Andy
Wao ndio huwa wanachagua, ni ngumu sana kusema uapply, kwa sababu ya ugumu wa vigezo na masharti waliyoweka/ jiwekea.Unasema kiufupi wana nidhamu ya Hali ya juu na "integrity " isiyo na shaka lolote? Na vipi kuhusu kuchagua kwa umakini je watu wanaapply au wao wanachagua watu na kuwasimika?
Sasa wewe ni mkereketwa wa Nazi , freemason unakuja kufanya nnWengine tunataka tujiunge huko unaweza pata fursa za maisha huko