Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

OK, hapa nimekuelewa, nibadilishe maswali? Maana natamani kujua Hawa watu bila kujiunga
Freemason au wajenzi huru kwa kimatumbi, ni chama cha siri kinachofata maadili na kustawisha udugu miongoni mwa Wanachama,

Wanachofanya ni kumfanya Mwanachama aachane na maisha ya zamani na kuzaliwa upya kwenye itikadi zao,

Wakatoliki hawaruhusiwi kujiunga na chama hicho.
 
Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?

Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.

Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.

View attachment 2777860


Walikuja jana kukopa mkopo 6.5m watakuwa ndo wamedunduliza na tusadaka twao labda tumefika 7.66m wakaona waanze.
 
Freemason au wajenzi huru kwa kimatumbi, ni chama cha siri kinachofata maadili na kustawisha udugu miongoni mwa Wanachama,

Wanachofanya ni kumfanya Mwanachama aachane na maisha ya zamani na kuzaliwa upya kwenye itikadi zao,

Wakatoliki hawaruhusiwi kujiunga na chama hicho.
Tupe nondo, mbona nasikia wanakaribisha dini zote, kwanini RC hawaruhusiwi?
 
Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?

Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.

Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.

View attachment 2777860
Ni ukarabati wa kawaida.. Hiyo ni taasisi yenye nyaraka zote kwa muktadha wa kiimani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani kujua zaidi kutoka kwako mkuu wa kilinge
Ni jumuiya ya siri yenye wanachama wa kuchaguliwa kwa uangalifu mkubwa sana na baadhi ya vigezo ni
1. Uwezo was kifedha
2. Nidhamu ya hali ya juu kwenye kila kitu
3. Cycle ya watu wako
4. Usiri
5. Ukimya
6. Imani kwa Mungu
7. Rekodi zero ya kashfa na mambo ya kesi
8. Uwezo wa akili ( hawachukui watu wajingajinga
9. Heshima na adabu kwa watu wa kaliba zote
10. Kujituma kwenye kila kitu nknk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom