Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Wajachukua pesa zenu za tozo huko ccm.huku pesa zinatoka na wakina godlove
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumanne na ijumaa Usiku saa sita njoo ushuhudie ma v8 black Usiku yakiingiaSema vikao vinafanyika lini na wapi! Hapo ndio kasheshe
Unawafahamu mkuu?
Inawezekana, una tatizo nao?Imekuuma mkuu au huu ni msimamo rasmi wa masons?
Wangekuona wangekufreeNimeweka picha japo nimeipiga toka mbali, sidhani Kama wanaruhusu picha
Ndio mkuu , tumia Google maps, utafika mpaka mlangoniIko wapi, ndiyo hapo opposite na BOT?
Umaskini ni shida Sana😂Ju
Jumanne na ijumaa Usiku saa sita njoo ushuhudie ma v8 black Usiku yakiingia
siku nyingine ukitaka kujua kitu uliza kwa kutumia kichwa sio masaburi, hakuna atakayekujibu, umeelewa mkuu?Hapana, nilitaka kujua tu
Freemason au wajenzi huru kwa kimatumbi, ni chama cha siri kinachofata maadili na kustawisha udugu miongoni mwa Wanachama,OK, hapa nimekuelewa, nibadilishe maswali? Maana natamani kujua Hawa watu bila kujiunga
Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.
View attachment 2777860
Tupe nondo, mbona nasikia wanakaribisha dini zote, kwanini RC hawaruhusiwi?Freemason au wajenzi huru kwa kimatumbi, ni chama cha siri kinachofata maadili na kustawisha udugu miongoni mwa Wanachama,
Wanachofanya ni kumfanya Mwanachama aachane na maisha ya zamani na kuzaliwa upya kwenye itikadi zao,
Wakatoliki hawaruhusiwi kujiunga na chama hicho.
Ni ukarabati wa kawaida.. Hiyo ni taasisi yenye nyaraka zote kwa muktadha wa kiimaniJengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.
View attachment 2777860
Natamani kujua zaidi kutoka kwako mkuu wa kilingeNi ukarabati wa kawaida.. Hiyo ni taasisi yenye nyaraka zote kwa muktadha wa kiimani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jumuiya ya siri yenye wanachama wa kuchaguliwa kwa uangalifu mkubwa sana na baadhi ya vigezo niNatamani kujua zaidi kutoka kwako mkuu wa kilinge