Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani
wakati mh rais anaongea hili sikutarajia watu kama wangeruka ruka na kushangilia la hasha pengine ingekuwa wakati muafaka wa kumuuliza je kama moja imeisha kwa miaka mitano hizi sita sio utapeli ???hata wale wanamahesabu kuna kitu kinaitwa cross multiplication
1=5
6=x
ukicross multiplication unapata x=6*5=30yrs
huyu bana pengine hatokuwepo hata dunia simwombei baya..
Si mbaya tukasaidiana jamani tuwasikilize tuchuje na tujitahdi kuchagua wale unaoona wana sera zenye kuendelza taifa letu..msidanganywe kama watoto wadogo machinga moja imegawiwa bila hata kuisha ndani mpaaka leo hii wameshindwa hata kuhamia hao wamachinga wenyewe...leo hii kikwete weweunadanganya kujenga tano labda uzijengee bagamoyo kwa kupuliza
chamsingi ni jengo kuwa tayari na kufanya kazi iliyokusudiwa na limeetekelezeka, ndio maana ya utawala kama asingefanyia kazi ndo ungelalamika, kwa sasa hilo ni goal tayari, bye
chamsingi ni jengo kuwa tayari na kufanya kazi iliyokusudiwa na limeetekelezeka, ndio maana ya utawala kama asingefanyia kazi ndo ungelalamika, kwa sasa hilo ni goal tayari, bye
Jengo kuwa tayari kwa means zipi? Idea ni ya nani? Kwa manufaa yapi na ya nani? Goal linaweza kuwa lakujifunga mwenyewe....in this case mmejifunga
hiyo ni kweli mkuu na anaacha madeni tuuuuu!machinga complex haikujengwa kwa pesa za serikali....kiwete acha kudanganya watu...!
infact pamoja na udom ..ni pesa za hifadhi za jamii ndo zinajenga...!
The fact kuwa na wamachinga, hilo ni tatizo. Vijana wengi wamekosa ajira na wameishia mijini kufanya biashara hizo. Wengi wao ni ma agent wa Wahindi ambao huwapa hizo bidhaa na wao wanapewa commission tu. Vijana hawa ni nguvu kazi kubwa, ambayo kama ingetumiwa vizuri, ingesiaida kuinua uchumi wa nchi yetu.
Siyo hivyo tu mkuu mimi jana nimepita pale pamepooza kweli nibora wangeweka vyumba vikubwa kabisa kuliko kuweka mabanda ya kufugia kuku! Nashangaa hata pale wanapotaka kujenga mengine tena!kilichinifanya niandike ni pale
nilipomuona adam kimbisa akijisifia kuwa
machinga complex ni ubunifu wake.....kama vile ni jambo la maana...
Wakati mimi naona ni ujinga mtupu..........