Jengo la Wizara ya Ulinzi mjini Moscow lachomwa moto

Nimeiona hii habar Daily Mail naona watu wanaandaliwa kwa mapokeo ili wajue kwamba hata nyinyi hamko salama muda wowote mnaweza fanywa chochote na mahali popote hata zile sehemu nyeti za serikali
 
Sasa haya ya takbir yanakuja kujaje hapa?? Unayo yasema hapa ni totally incoherent - sometimes huwa najiuliza kama huko mentally sound.
Huyu jamaa dishi limeyumba mkuu nenda nae taratibu asikuumize kichwa,, hayo ndio majibu yake utadhani labda huyu mrusi ni muislam
 
Moshi umetokea mweupee ama mweusiii ? ... ka mweusi itakuwa wameamua kuchoma matairi ya magari kutuzugaa tuu
 
Anazungukwa puti kwa sasa! Na ameshajaa kwenye sight bado kuminya Trigger!
Muda Utasema....
 

Attachments

  • dangerous-armed-man-pointing-hand-260nw-749776249.jpg
    10.9 KB · Views: 1
Kichwa cha habari hakilingani na tukio lenyewe. Hakuna jengo lililoungua. Kuna moshi ulionekana ukifuka kutoka sehemu fulani ya jengo na warusi wenyewe wameshasema ilikuwa ni moto uliosababishwa na birika la umeme na umeshazimwa.
Jengo lililoungua haliwi kama hivi.
 
Sasa haya ya takbir yanakuja kujaje hapa?? Unayo yasema hapa ni totally incoherent - sometimes huwa najiuliza kama huko mentally sound.

Hehehe hilo jengo limewauma utadhani ni msikiti umetiwa kiberiti kwa ambavyo mnafyatuka....safi sana na yatachomwa mengi tu.
 

Huo moshi utakua wa Mrusi anavuta sigara humo....hehehe umenikumbusha meli ya Moskov mlisema mvuta sigara kasababisha izame..
 
Bila Shaka mtashinda mdomoni hiyo.....hujui what is going on on the ground huko Ukraine...unadhani Macron amependa kwenda huko China?! Au unadhani kile kibibi Cha EU nacho kimependa kwenda China?! Au unadhani hugo Zele wenu anafanya Nini huko Poland...poleni?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…