Jengo la Wizara ya Ulinzi mjini Moscow lachomwa moto

Jengo la Wizara ya Ulinzi mjini Moscow lachomwa moto

Hehehe hilo jengo limewauma utadhani ni msikiti umetiwa kiberiti kwa ambavyo mnafyatuka....safi sana na yatachomwa mengi tu.
Oya unatuletea habari zako zisizo na ukweli kisha unahamisha mada kwenye imani za watu, wali sio vyema, kumbuka hii forum pana watu wazima humu ndani.

Ndiyo maana mwanzo nikasema huenda ukawa na Classical Symptoms za "Schizophrenia"..ushabiki usikuathiri sana.
 
Oya unatuletea habari zako zisizo na ukweli kisha unahamisha mada kwenye imani za watu, wali sio vyema, kumbuka hii forum pana watu wazima humu ndani.

Ndiyo maana mwanzo nikasema huenda ukawa na Classical Symptoms za "Schizophrenia"..ushabiki usikuathiri sana.

Hizo imani ndio zimewashikilia akili badala mtumie akili zenu, mumeaminishwa kwa Urusi kuiba ardhi ya Ukraine mnaikomoa Marekani.
 
Hizo imani ndio zimewashikilia akili badala mtumie akili zenu, mumeaminishwa kwa Urusi kuiba ardhi ya Ukraine mnaikomoa Marekani.
Ndiyo maana unadanganya watu wazima humu ndani kisha unahamishia mada kwenye imani za watu?.. I wish post zako zikaanza kupitiwa kwanza na admin kujua kama zina ukweli wowote wa hizo taarifa zako kabla hazijaletwa kwa wachangiaji..

Nafkiri italinda heshima ya forum kuaminiwa hapo Tanzania kutokana na habari zenye ukweli.
 
Endeleeni kuhesabu na mwishoni mtupatie hesabu...mtupatie pia hesabu za majenerali wa Russia waliotangulia mbele ya haki...Kuna wakati mlituambia wamefikia zaidi ya 30....Lakini pale mliowatangaza kuwa wamekufa walipoanza kujitokeza hadharani tukaona kimyaaas...Sasa mmekuja na ndege na bila Shaka ifikapo wiki ijayo idadi yake inaweza kufikia 100 na Kuna na kauli kuwa Russia yaishiwa ndege....stupid...you guys you can't learn....Russia is something else....Russia has been preparing for this show for almost 30 years now....NATO has 31 countries by Tuesday but they have failed to contain Russia...The bear is now 'munching' Ukraine inch by inch...Macron is in China to beg for support from Beijing...that thin and ugly laddy from EU is also in China in EU's efforts to lure China's investors to invest in Europe because EU's economy is now 'stupid' after these stupid countries shot themselves onto their feet in trying to sanction the bear..
 
Endeleeni kuhesabu na mwishoni mtupatie hesabu...mtupatie pia hesabu za majenerali wa Russia waliotangulia mbele ya haki...Kuna wakati mlituambia wamefikia zaidi ya 30....Lakini pale mliowatangaza kuwa wamekufa walipoanza kujitokeza hadharani tukaona kimyaaas...Sasa mmekuja na ndege na bila Shaka ifikapo wiki ijayo idadi yake inaweza kufikia 100 na Kuna na kauli kuwa Russia yaishiwa ndege....stupid...you guys you can't learn....Russia is something else....Russia has been preparing for this show for almost 30 years now....NATO has 31 countries by Tuesday but they have failed to contain Russia...The bear is now 'munching' Ukraine inch by inch...Macron is in China to beg for support from Beijing...that thin and ugly laddy from EU is also in China in EU's efforts to lure China's investors to invest in Europe because EU's economy is now 'stupid' after these stupid countries shot themselves onto their feet in trying to sanction the bear..

Hehehe liinsha kama lote tena muandiko wa ajabu bila alama za uafikishaji, jameni mbona mnateseka hivi? Nani apoteze muda wake kusoma uharo wote huu.
 
Nilichojifunza hapa nikwamba Mkenya anatumika kuharibu forum ambayo inayoaminika na Watanzania wengi kuwa ni chanzo cha taarifa za uhakika.

Subiri nafukunyua nyingine muda usio mrefu, mtakoma nyie hehehehe takbirr
 
Mbele kwa mbele.....hehehe
Tazama unavyojibu,humu utazidi kuumbuka na watu mada zako wataachana nazo au mwisho wa siku utakula ban.

Usijichekeshe chekeshe baada ya kupotosha watu, kwann usiwaombe watu msamaha kutokana na chanzo cha habari ulichokipata na kuwapa wana jamii forum kuwa ni fake? Itakupunguzia nini ukifanya hivyo kisha ukaanza kuvifanyia utafiti vyanzo vyako vya habari?

Watu huamini kinacholetwa Jamii forum, hivyo usiharibu hadhi ya forum.
 
Tazama unavyojibu,humu utazidi kuumbuka na watu mada zako wataachana nazo au mwisho wa siku utakula ban.

Usijichekeshe chekeshe baada ya kupotosha watu, kwann usiwaombe watu msamaha kutokana na chanzo cha habari ulichokipata na kuwapa wana jamii forum kuwa ni fake? Itakupunguzia nini ukifanya hivyo kisha ukaanza kuvifanyia utafiti vyanzo vyako vya habari?

Watu huamini kinacholetwa Jamii forum, hivyo usiharibu hadhi ya forum.

Hehehe!! Mbona unateseka na mimi jamaa, humu nani kakuleta, kila mtu anakuja kivyake na kuchagua asome nini hatupangiani....humu hatushikiliwi akili kama ilivyo kwenye dini huko.
 
Hehehe!! Mbona unateseka na mimi jamaa, humu nani kakuleta, kila mtu anakuja kivyake na kuchagua asome nini hatupangiani....humu hatushikiliwi akili kama ilivyo kwenye dini huko.
Unadanganya watu!
 
Back
Top Bottom