Jengo laporomoka na kuua watu watatu

Jengo laporomoka na kuua watu watatu

eliakeem

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2009
Posts
17,214
Reaction score
15,853
Kama ilivyo kawaida, kwa mara nyingine tena jengo lamoromoka kenya na kuua watatu. Majirani, mtaacha mpaka wafe wangapi ndiyo mdhibiti majanga haya?

Wanasema hilo jengo ni jipya kabisa. Tangu liishe halina hata mwezi mmoja. Swali langu, kwa mara nyingine, hali hii itasubiriwa mpaka iue wangapi ndiyo idhibitiwe?

Chanzo: ITV habari saa 2 usiku tarehe 31/08/2021
 
Kama ilivyo kawaida, kwa mara nyingine tena jengo lamoromoka kenya na kuua watatu. Majirani, mtaacha mpaka wafe wangapi ndiyo mdhibiti majanga haya? Wanasema hilo jengo ni jipya kabisa. Tangu liishe halina hata mwezi mmoja. Swali langu, kwa mara nyingine, hali hii itasubiriwa mpaka iue wangapi ndiyo idhibitiwe?

Source: ITV habari saa 2 tarehe 31/08/2021

GERALD710
Wewe umekuwa ukibishana na mimi jana tu kuhusu mighorofa yenu mibovu. Ulikuwa unasema ile mijengo mibovu ni ya 2015. Nilikuuliza kwa hiyo ile mijengo mliipeleka wapi? Hukujibu, ukaingia mtini. Mbaya zaidi jengo lililoanguka leo, limejengwa hivi karibuni, hata mwezi haujaisha tangu lianze kutumika. Limeua watatu wasio na hatia. Sijui building inspectors wanalipwa mishahara ya kazi gani!!!?
 
Kama ilivyo kawaida, kwa mara nyingine tena jengo lamoromoka kenya na kuua watatu. Majirani, mtaacha mpaka wafe wangapi ndiyo mdhibiti majanga haya? Wanasema hilo jengo ni jipya kabisa. Tangu liishe halina hata mwezi mmoja. Swali langu, kwa mara nyingine, hali hii itasubiriwa mpaka iue wangapi ndiyo idhibitiwe?

Source: ITV habari saa 2 usiku tarehe 31/08/2021
Teargas Tony254 Mkuyeee hapa mtuelezeee hizi ndio zile skyscraper zenyuuuu????
 
Nadhani wanatumia cement Ile grade ya chini kabisa katika ujenzi.

Halafu wanatumia mianzi badala ya nondo.
 
Tony 254 jana ulisema nina wivu. Sasa njoo hapa unioneshe wivu wangu.
 
Nadhani wanatumia cement Ile grade ya chini kabisa katika ujenzi.

Halafu wanatumia mianzi badala ya nondo.

Sidhani kama ni mianzi. Itakuwa mabua. Hili jengo la leo, halina hata mwezi.
 
Sidhani kama ni mianzi. Itakuwa mabua. Hili jengo la leo, halina hata mwezi.
Na kwenye ringi za kwenye nguzo wanafunga kamba za katani.

Mbona huku bongo unakuta fundi hajasoma kokote lakini anakutolea kitu quality...hawa wakunya wanakwama wapi?
 
Back
Top Bottom