Hahaha nakumbuka niliwaonaga wajerumani wao ndy walikuwa wanafanya restoration hkoUnanichekesha wewe, eti kutoka Ardhi University. Haha. Wataalam waliochomekwa chomekwa kutokana na kuibiwa nasafi za wengine na kuwadhulumu. Hakuna kitu watanzania tunaweza zaidi ya majungu na roho mbaya.
Na wewe na family yako muendeleze ulaji kwa mgongo wa jiwe.!!Ni ishara tosha sasa Zenj & Bara iwe absolute one country. #JPM 5 tena!
Africa or east Africa?Daah, nikifika hapo na kuingia humo 2012, nasikikia ndio lilikuwa la kwanza kupata umeme Afrika?
Mi 5 tena au siyo ?
Mbona ni Christmas na siyo Pasaka! Sasa tushangilie su tuomboleze?Marehemu enzi za uhai wakeView attachment 1658864
Ni tatizo la kudumu hilo.Siku hizi JF huwezi view video...???
Taarifa hizi kupitia kituo cha Luninga zinasema jumba hilo limeporoomokka hivi punde na kuna watu wamefunikwa.
Naomba mliopo jirani na Forodhani sogeeni hapo mtupatie nini chanzo cha hii ajali. Ingawa vyanzo vinadai jumba hilo lipo katika ukarabati
View attachment 1658926 taarifaView attachment 1658927
Maalim Seif, tumeona ni vizuri tupambane tukiwa ndani.Taarifa hizi kupitia kituo cha Luninga zinasema jumba hilo limeporoomokka hivi punde na kuna watu wamefunikwa.
Naomba mliopo jirani na Forodhani sogeeni hapo mtupatie nini chanzo cha hii ajali. Ingawa vyanzo vinadai jumba hilo lipo katika ukarabati
View attachment 1658926 taarifaView attachment 1658927