Jengo Maarufu Zanzibar kwa utalii, Beit Al Ajaib laporomoka

Jengo Maarufu Zanzibar kwa utalii, Beit Al Ajaib laporomoka

badala kushauri ni jinsi gani kunusuru .majengo mmehamia kubishia nan aliuza watumwa nan hhakuuza.utumwa umeanza toka dunia inaanza ni mfumo tu kama mifumo mingine
kama mifum mingine kama ushoga ,ulianza wakati wa Nabii Luti na unaendelea hadi leo , na Wazungu wanaupalilia na kuuenzi.
Wazunguw engi ni mashoga na baadhi ya Mapadri ni wafanyaji au wafanywaji. Wakiwemo watumaarufu.
Hata hivyo hatusemi Waafrika na wao hawamo ,wamo lakini kama mfumo tuu .
Utumwa ulikuwepo miaka yote na zama zote , ndio maana katika Biblia utakuta Mtumwa antkiwa kumtii Bwana wake na kumtumikia bila ya kumpinga.
Lakini Katika Qur-an utumwa upo ila umetakiwa mwenye kumiliki mtumwa amtendee wema mtumwa na akifanya baadhi ya makosa ,kafara yake ni kumwachia mtumwa HURU na kufanya hivyo ni tendo la ucha Mungu Bali imeruhusiwa kuwaowa watumwa wa kike na mtoto akizaliwa ni mtu huru ,hatokuwa mtumwa..ndio maana Watumwa waliokuwepo arabuni walifutika Naturaly.

Kule USA Blaks wapo as Black hadi leo.,Arabuni Black ni sehemu ya makabila ya Kiarabu akina Mazrui, Ruweikh, na Ghabusi mwenyewe utaona rangi zao ni mchanganyiko.
Utajuwa kuwa Masuria waliwazalia Mabwana wao watoto na kuumaliza utumwa.

VIPI TUTAKARABATI MAJENGO YA MJI MKONGWE BILA YA KULETA TENA MAAFA? Maana majengo yote kule ni chakavu mno na yanahitaji ukarabati wa kina, au yavunjwe na kujengwa kisasa.
 
kama mifum mingine kama ushoga ,ulianza wakati wa Nabii Luti na unaendelea hadi leo , na Wazungu wanaupalilia na kuuenzi.
Wazunguw engi ni mashoga na baadhi ya Mapadri ni wafanyaji au wafanywaji. Wakiwemo watumaarufu.
Hata hivyo hatusemi Waafrika na wao hawamo ,wamo lakini kama mfumo tuu .
Utumwa ulikuwepo miaka yote na zama zote , ndio maana katika Biblia utakuta Mtumwa antkiwa kumtii Bwana wake na kumtumikia bila ya kumpinga.
Lakini Katika Qur-an utumwa upo ila umetakiwa mwenye kumiliki mtumwa amtendee wema mtumwa na akifanya baadhi ya makosa ,kafara yake ni kumwachia mtumwa HURU na kufanya hivyo ni tendo la ucha Mungu Bali imeruhusiwa kuwaowa watumwa wa kike na mtoto akizaliwa ni mtu huru ,hatokuwa mtumwa..ndio maana Watumwa waliokuwepo arabuni walifutika Naturaly.

Kule USA Blaks wapo as Black hadi leo.,Arabuni Black ni sehemu ya makabila ya Kiarabu akina Mazrui, Ruweikh, na Ghabusi mwenyewe utaona rangi zao ni mchanganyiko.
Utajuwa kuwa Masuria waliwazalia Mabwana wao watoto na kuumaliza utumwa.

VIPI TUTAKARABATI MAJENGO YA MJI MKONGWE BILA YA KULETA TENA MAAFA? Maana majengo yote kule ni chakavu mno na yanahitaji ukarabati wa kina, au yavunjwe na kujengwa kisasa.
lahaula.mwishon ndio nimeshtuka na glass kudondoka.
Majengo ya Kale hayabomolewi hayo ni non renewable resources. Likiondoka kama hakuna mipango madhubut ndio basi tena.
yana muingozo yake ya kuikarabati na hata kwa hapa zanzibar taasis nying tu za kimataifa zimefanya project za conservation.mfano aga khan foundation.
Muhimu ni kuwa Urithi wa majengo ya kale kwa zanzibar ni wa kipekee hata kwa bara kuna utajir wa majengo ya kihistoria ambayo yangewekewa ukarabat mabilion ya pesa za utalii yangeimwagika .yanahitaji timu hasa maalum ku deal nayo majengo
 
Mkuu Emiir, soma historia ya "Zanj Rebellion". Waarabu waliwaleta watumwa kutoka Zanzibar na sehemu nyingine za Afrika Mashariki kufanya kazi za kilimo Basra, Iraq mwaka 869 wakati wa enzi za Abbasid. Walishindwa kupata uhuru wao japo walipigana kwa miaka 15.

Kwa upande mmoja upo sahihi, waiingereza walifanya biashara ya utumwa pia pamoja na raia wa nchi nyingine, lakini kukataa kuwa Waarabu wa Zanzibar/Oman hawajafanya biashara hii si kweli, na itakuchukua dakika moja tu kupata majibu ya wanahistoria mmbalimbali wa nchi tofauti katika Google.

Karne ya nane ndio hio hio iliyowaleta waarabu kufanya biashara mbalimbali Afrika mashariki na kuleta dini ya Kiislam na ngarawa. Kilimo cha karafuu kilikuwa na faida sana na watumwa wengi walitumika Zanzibar katika kilimo hiki. Watumwa walitumika pia kama wanajeshi na wafanyakazi wa nyumbani.

Zaidi ya Zanzibar, kulikuwa na masoko ya watumwa Tanzania Bara na Somalia. Wakaweka hata "agent" wao Yemen ili biashara ipate mteja haraka.

Ndio sababu ya kuwaona Waarabu wenye asili ya Kiafrika Saudi Arabia, Yemem, Oman na nchi nyingine za Kiarabu. Waarabu waliwauza huko, si Waiingereza.

Waiingereza waliwasili Afrika Mashariki kutawala karne ya 19.

Zanzibar ilikataza biashara ya utumwa mwaka 1897 baada ya kutumika presha ya Uiingereza kwa Sultani lakini hawajatumia nguvu sana kukemea utumwa kwa kuwa ulikuwa unawapa faida sana kwa kupata nguvu ya bure ya wafanyakazi katika mashamba yao, kodi na kadhalika.

Soma hapo chini Profesa maarufu akitoa point inayoonyesha kuwa Waarabu walikuwa wa kwanza kufanya hii biashara kabla ya Uiingereza kuichukua na kuifanya Zanzibar "Protectorate" ya Uiingereza.

Fahamu kuwa, sisemi, Waarabu TU, ndio walikuwa wauza watumwa.


The East African Slave Trade

Swahili patricians, the ruling class of coastal society of mixed African-Asian origin in the ports and islands of East Africa, comprising Sultans, chiefs, government officials, ship owners and wealthy merchant houses, used non-Muslim slaves as domestic servants, sailors, coolies and workers on farms and plantations, even in the interior of modern day Tanzania around trading centers such as Tabora, Mwanza on Lake Victoria, and Ujiji and Kigoma on Lake Tanganyika.

Seyyid Said, Sultan of Oman an Zanzibar, and his relatives and associates, became so rich because of his clove plantations in Zanzibar employing slave labor that he moved his capital Muscat in Oman to Zanzibar in 1840; thus he became the first of 12 Omani Sultans of Zanzibar.

Slavery and slave trade within East Africa were well established before the Europeans arrived on the scene.

Export of slaves was mostly to the countries of the Middle East, especially in the Persian Gulf region. African slaves worked as sailors in Persia, pearl divers and laborers on
date plantations in Oman and the Gulf, soldiers in the various armies and workers on the salt pans of Mesopotamia (todays Iraq).

Many Africans were domestic slaves, working in rich households. Many young women were taken as concubines, i.e. sex slaves.

After 1729 when the Portuguese were ousted from the Swahili coast by the Omani fleet, Arab, Iranian and Indian settlement increased in East Africa and the slave trade expanded far into
the interior of East and Central Africa and became more organized.

Source:

SLAVERY AND THE SLAVE TRADE IN EASTERN AFRICA.

Abdulaziz Y. Lodhi (PhD), Professor Emeritus.
Uppsala University, Sweden.
Tatizo lako umebase kwenye Afrika Mashariki, mi nimeongelea in general. Mwingereza ndio mwasisi wa biashara ya utumwa katika bara la Africa anzia hata kwenye Triangular slave trade huko. Usiangalie Afrika Mashariki pekee.View attachment Slave market.pdf
 
Tatizo lako umebase kwenye Afrika Mashariki, mi nimeongelea in general. Mwingereza ndio mwasisi wa biashara ya utumwa katika bara la Africa anzia hata kwenye Triangular slave trade huko. Usiangalie Afrika Mashariki pekee.View attachment 1659513
Tulikuwa tunaongelea biashara ya Utumwa na kwa kuwa tunaongelea Zanzibar, ndio maana nikasema waraabu wamefanya sana biashara ya utumwa na wametajirika sana na biashara ya utumwa.

Na nilishasema kuwa sijakataa raia wa nchi nyingine pia walifanya biashara ya utumwa miaka tofauti tofauti.

Huhitaji elimu ya Ph.D kutambua kuwa Muiingereza alifanya zaidi kwa kuwa alikuwa na nguvu zaidi ya kijeshi na kuwa na meli kubwa za kubebea watumwa miaka ya 1700 baada ya kuhitaji wafanyakazi katika makoloni yao ya Marekani na Caribbean katika kilimo. Hatuwezi kusema kuwa Uiingereza ndio mwaasisi wa hii biashara wakati kuna soko la watumwa Yemen na Iraq miaka ya 869! They are all guilty, equally.

Kila Sultan wa Zanzibar alikuwa na watumwa na kwa Afrika Mashariki, walitawala biashara hii kwa miaka mingi sana. Wengi waliuzwa Uarabuni, na ndio maana kuna Waarabu leo wenye asili ya Kiafrika kutoka Saudi Arabia, Oman, Yemen hadi Kuwait. Na hakujakuwa na Sultani yoyote ambae hajanunua wala kurithishwa watumwa. Watumwa walitumiwa sana katika kilimo cha karafuu Zanzibar. Na hii biashara ya utumwa Uarabuni kama nilivyooeleza nyuma ilikuwa tayari inafanyika mwaka 869 mjini Basra, Iraq na watumwa walitoka Afrika Mashariki na kuongea Kibantu.
 
Tulikuwa tunaongelea biashara ya Utumwa na kwa kuwa tunaongelea Zanzibar, ndio maana nikasema waraabu wamefanya sana biashara ya utumwa na wametajirika sana na biashara ya utumwa.

Na nilishasema kuwa sijakataa raia wa nchi nyingine pia walifanya biashara ya utumwa miaka tofauti tofauti.

Huhitaji elimu ya Ph.D kutambua kuwa Muiingereza alifanya zaidi kwa kuwa alikuwa na nguvu zaidi ya kijeshi na kuwa na meli kubwa za kubebea watumwa miaka ya 1700 baada ya kuhitaji wafanyakazi katika makoloni yao ya Marekani na Caribbean katika kilimo. Hatuwezi kusema kuwa Uiingereza ndio mwaasisi wa hii biashara wakati kuna soko la watumwa Yemen na Iraq miaka ya 869! They are all guilty, equally.

Kila Sultan wa Zanzibar alikuwa na watumwa na kwa Afrika Mashariki, walitawala biashara hii kwa miaka mingi sana. Wengi waliuzwa Uarabuni, na ndio maana kuna Waarabu leo wenye asili ya Kiafrika kutoka Saudi Arabia, Oman, Yemen hadi Kuwait. Na hakujakuwa na Sultani yoyote ambae hajanunua wala kurithishwa watumwa. Watumwa walitumiwa sana katika kilimo cha karafuu Zanzibar. Na hii biashara ya utumwa Uarabuni kama nilivyooeleza nyuma ilikuwa tayari inafanyika mwaka 869 mjini Basra, Iraq na watumwa walitoka Afrika Mashariki na kuongea Kibantu.
Aliyeanzisha ndie aliekataza Faqat. Haijalishi Zanzibar ama wapi.
 
Muarab alipofika kwenye pwani ya Afrika Mashariki hakuwa na lengo la kutawala wala kufanya biashara, Wareno ndio waliomsababishia atawale na biashara ni Waingereza ndio waliompelekea. Kumbuka hayo maeneo yalikuwa ni himaya ya Mjerumani na Mwingereza.

Soko la biashara ya utumwa Zanzibar lipo ndani ya kanisa ambalo limejengwa na Mwingereza. Mwarabu hakuwa akisafirisha watumwa nje ya Afrika bali Waingereza ndio waliokuwa wakifanya hivyo. Yeye kazi yake ilikuwa ni kukamata tu watumwa na kuwauza, hivyo ukiangalia biashara angalia pande zote mbili.
Hahaha. Umezunguka sana, halafu umerudi pale pale. Waarabu wamefanya biashara ya utumwa na wamekuwa na mifumo hiyo ya utumwa.
 
unajua wewe unajadili historia na archeology yeye anabase kidini hamtofika popote
Exactly. Ni vigumu kwa Muislamu au Mwarabu kukubali kuwa waliuza watumwa na kutajirika sana.

Sasa kama wazungu walikuwa mwanzo kuuza au mwisho kuuza, it's not the point. Wote wameuza binadamu wenzao. Yeye anang'ang'ania kuwa Zanzibar ni Waiingereza ndio wauzaji, japo nimemsihi asome historia ya "Zanj rebellion" ya mwaka 869 ilioonyesha kuwa watumwa walishafikishwa Basra na Waarabu.

The sad part is that, utumwa ulikatazwa officially mwaka 1948 tu na Umoja wa Mataifa, nchi nyingi Uarabuni zilikuwa hazina sheria ya kukataza utumwa mpaka mwaka 1962 (Saudi Arabia), mwaka 1970 Oman na Mauritania ilikataza mwaka 1981!

Uiingereza iliaibika sana kukubali kikosi cha wageni wa Qatar wa mwaka 1953 kuhudhuria coronation ya Malkia Elizabeth II, ambacho kilikuja na watumwa wao wa nyumbani!
 
Hahaha. Umezunguka sana, halafu umerudi pale pale. Waarabu wamefanya biashara ya utumwa na wamekuwa na mifumo hiyo ya utumwa.
Kapitie Trans Atlantic slave trade utapata jibu kuhusu biashara ya utumwa, Pia tujenge utaratibu wa kutembelea maeneo ya kihistoria, kuna mengi ya kujifunza.
Haina haja ya kubishana na kulumbana. Mada ni kuporomoka kwa jengo la kihistoria (House of wonders - Bait al ajab/ بيت الاجب).
 
Exactly. Ni vigumu kwa Muislamu au Mwarabu kukubali kuwa waliuza watumwa na kutajirika sana.

Sasa kama wazungu walikuwa mwanzo kuuza au mwisho kuuza, it's not the point. Wote wameuza binadamu wenzao. Yeye anang'ang'ania kuwa Zanzibar ni Waiingereza ndio wauzaji, japo nimemsihi asome historia ya "Zanj rebellion" ya mwaka 869 ilioonyesha kuwa watumwa walishafikishwa Basra na Waarabu.

The sad part is that, utumwa ulikatazwa officially mwaka 1948 tu na Umoja wa Mataifa, nchi nyingi Uarabuni zilikuwa hazina sheria ya kukataza utumwa mpaka mwaka 1962 (Saudi Arabia), mwaka 1970 Oman na Mauritania ilikataza mwaka 1981!

Uiingereza iliaibika sana kukubali kikosi cha wageni wa Qatar wa mwaka 1953 kuhudhuria coronation ya Malkia Elizabeth II, ambacho kilikuja na watumwa wao wa nyumbani!
Na wanasahau unofficially mpaka dakika hii tunayoongea kuna watumwa wa kiafrika huko uarabuni....wengi wanachukuliwa na madalali huku Africa kama either wanapelekwa kupewa kazi wakifika wananyang'anywa passport au wale wakimbizi au wazamiaji wanapandishwa kwenye meli kama wanapelekwa ulaya halafu wanaishia nchi za waarabu as watumwa
Utasikia waislam wakibongo wanawasifia waarabu kuwa ni watu bora na sio wabaguzi kama jamaa huko juu aliyesema watumwa waliolewa na utumwa ukaisha naturally wakati hata hapa tu bongo kuoa muarabu ni kisanga hata muarabu toleo la tatu sembuse huko Nchini kwao...ukweli unajulikana ila tunageuzana mbogo kisa dini
 
Soko la biashara ya utumwa Zanzibar lipo ndani ya kanisa ambalo limejengwa na Mwingereza. Mwarabu hakuwa akisafirisha watumwa nje ya Afrika bali Waingereza ndio waliokuwa wakifanya hivyo. Yeye kazi yake ilikuwa ni kukamata tu watumwa na kuwauza, hivyo ukiangalia biashara angalia pande zote mbili.

Utumwa uliisha lini na hilo kanisa lilijengwa lini?
Mbona unapotosha historia waarabu walisafirisha watumwa mpaka Uarabuni huko unapata faida gani?
 
Back
Top Bottom