Jengo Maarufu Zanzibar kwa utalii, Beit Al Ajaib laporomoka

Jengo Maarufu Zanzibar kwa utalii, Beit Al Ajaib laporomoka

Samahani,naomba unielezee kidogo jinsi utumwa ulivyoanza wakati dunia inaanza
system ya kuwa
na watu wakawafanyia shughul imekuapo miaka na miaka.ni mfumo tu umekua unabadilika badilika.enzi na enzi kutumiana kuzalisha mali au kazi za nyumban imekuapo.kadiri maendeleo yalivozidi ikaonekana kuna haja ya kupanua wigo wa mahitaji mfano baada ya mahitaji ya rasilimal kuwa makubwa kwa nchi za ulaya makolon yakatafitiwa kwa safar nyingi tu za mabaharia kina vasco da gama na wengineo.

kwa mfano mfrance alipokuwa na mahitaj makubwa ya muwa akahitaji man power ya kutosha ndipo biashara ikachanganya ya kuuza watu, ilumtumikisha mtu eidha unamlipa au humlipi hujaanza leo.ni toka zamaan za kale kwel kweli.aliyefanya kafanya asiyefanya basi
 
Nilipita hapo mwaka jana pakiwa pamefungwa, nimeshaangaa hadi leo linabomoka walikuwa hawachukua hatua zozote za kuliendeleza na mkuu wao wa mkoa bwana hussein mwinyi yupo tu
 
Njama hizo hawataki majumba na miskiti ya kuonyesha waarabu wameamua kuacha ianguke lakini kanisa halitaachwa lianguke
 
Waarabu wameanza kufanya biashara ya utumwa Africa Mashariki kabla huyo Muingereza hajafika.

Kabla hata ya hiyo 1840.

Huyu anayetaka kusema Waingereza ndio walioanzisha biashara ya utumwa Afrika ya Mashariki, ama hajui historia, ama anajaza watu ujinga kwa makusudi.

Labda africa mashariki Omanis vs British..... Kumbuka wa mwanzo kuanza utumwa ni Mzungu wa kiportuguese. Oman ilitawaliwa na portuguese empire na wakafanikiwa kuwaondoa, ndipo wazanzibari wao wenyewe wakawaita wa Oman kuja kusaidia kuwaondoa wareno hao. Na kwa ridhaa yao wakakubali kutawaliwa na mwarabu wa Oman.

Mfalme wa Oman, amehamisha makao makuu yake na yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar rasmi, na kama ulikuwa hujui basi tambua kuwa Zanzibar ndio ilikuwa mji mkuu wa nchi ilioitwa Oman. Mimi sijaona Mzungu/Mwingereza akisema kuwa Nairobi ni capital city of UK au mjerumani akisema Dodoma ni capital city of German. Ukitumia akili utaona kuwa mmoja alikuja kuongoza wananchi na mwengine alikuja kutumikisha wananchi wa eneo husika na kufaidisha kwao.

Katika link ulioileta, huyo mwandishi asema kuwa watu wanazungumzia kuhusu trans atlantic trade lakini kumbe waarabu walifanya kuliko ivo. Hivi nikuulize wewe mwenyewe, Waarabu walitawala nchi ngapi hapa Afrika hata aseme kuwa eti wao ndio wamekithiri kwenye hio biashara?
 
Kwanini umeuliza swali hilo?

Mbona zinafunguka na kutazamika
Labda kwako... Lakini kwa upande wangu mara nyingi zimekuwa zikinipeleka kwenye (tuseme) home page ya jf, tofauti na mwanzo ilikuwa ikinilink na videoder
 
Labda kwako... Lakini kwa upande wangu mara nyingi zimekuwa zikinipeleka kwenye (tuseme) home page ya jf, tofauti na mwanzo ilikuwa ikinilink na videoder
Sasa nimekuelewa Kiongozi.

Ahsante kwa ufafanuzi
 
Jengo hili lilikua ndio sura ya mji Mkongwe Zanzibar na kivutio Kiki kikubwa cha utaliii, lakini serekali imeshindwa kulitunza.

Serekali ya Oman [emoji1190] ilikua tayari kulikarabati lakini inaonekana wamefanyiwa urasimu na watendaji wenye tamaa.

===

Jengo la Beit al Ajaib lilijengwa na sultan wa pili wa Zanzibar, Barghash bin Said mwaka 1883 likilengwa kuwa jengo la kasri la sherehe na sehemu maalum ya mapokezi kwa wageni

Liliitwa Jumba la Ajabu, kwa kiarabu Beit Al Ajaib kwa kuwa lilikuwa ni jengo la kwanza kuwa na umeme Zanzibar, la kwanza Afrika Mashariki kwa kuwa na 'elevator'

Jengo hilo limeonekana kuporomoka, Leo Desemba 25, Mtu mmoja ameokolewa katika tukio hiloView attachment 1658939View attachment 1658933View attachment 1658934View attachment 1658935View attachment 1658936View attachment 1658937
Hilo jengo siyo John Walker - Whiskey: Getting stronger as days pass on.
 
na mim nilikua najua hivi. sijui kuna kitu gan kilitokea nakumbuka alikuja jamaa mmoja smart sana anapiga kiswahili safi kabisa.
Upo sahihi kabisa. Na hapa ndio waliandikishana mkataba wa kukarabati na malipo ya gharama hizo.
3.jpeg
1.jpeg
 
Kuna habari kuwa kumetokea tetemeko la ardhi kule Zanzibar na kusababisha mtikisiko mkubwa na sintofahamu ya wakazi wa eneo, tetemeko hilo.

Inasemekana limeidungua jumba kubwa la kihistoria katika viwanja vya Forozani.

Sina uhakika na habari hizi nimeona picha zilizozagaa mitandaoni haijulikani kama kulikuwa na wafanya kazi ndani ya jumba hilo.

Labda wenye ubavu wa kupata habari za huko wanaweza kututonya ili tujue hawa ndugu zetu wa Muungano wako na hali gani baada ya mtikisiko huo.
 
Back
Top Bottom