Jengo refu kuliko yote Tanzania hadi mwaka 2022

Jengo refu kuliko yote Tanzania hadi mwaka 2022

Sio hili, jengo refu Tz ni lile la Bandari, likifuatiwa na yale majengo pacha ya psssf , yale ukiwa sehemu nyingi Dar lazima uyaone
Jengo yalipo makao makuu ya bandari, google imaonyesha kuwa ni hilo. Still, hata kama makao makuu ya bandari hayako kwenye jrngo hilo, bado jengo refu kuliko yote Tanzania ni hilo
 
Cha mtoto hilo labda Kuna moja linajengwa usawa wa posta hii ile barabara ya azikiwe fanya kama unakuja kweny bank ya India huku ,Kuna jengo linajengwa aisee ni refu kama litakuwa fupi basi hayajaachana sana sawa wako kweny usawa wa kuremba parking ni kubwa kwenda juu halijakamilika bado bank ya India mitaa ya posta kama yanaangaliana.
 
Cha mtoto hilo labda Kuna moja linajengwa usawa wa posta hii ile barabara ya azikiwe fanya kama unakuja kweny bank ya India huku ,Kuna jengo linajengwa aisee ni refu kama litakuwa fupi basi hayajaachana sana sawa wako kweny usawa wa kuremba parking ni kubwa kwenda juu halijakamilika bado bank ya India mitaa ya posta kama yanaangaliana.
Mzizima tower la NSSF
 
Cha mtoto hilo labda Kuna moja linajengwa usawa wa posta hii ile barabara ya azikiwe fanya kama unakuja kweny bank ya India huku ,Kuna jengo linajengwa aisee ni refu kama litakuwa fupi basi hayajaachana sana sawa wako kweny usawa wa kuremba parking ni kubwa kwenda juu halijakamilika bado bank ya India mitaa ya posta kama yanaangaliana.
Ni Mali ya NSSF Mkuu!!
 
Kwa sasa, ukanda wa Afrika Mashariki na kati, huenda jiji la Dar ndio lenye skyscrapers nyingi, ndefu na nzuri.
 
Cha mtoto hilo labda Kuna moja linajengwa usawa wa posta hii ile barabara ya azikiwe fanya kama unakuja kweny bank ya India huku ,Kuna jengo linajengwa aisee ni refu kama litakuwa fupi basi hayajaachana sana sawa wako kweny usawa wa kuremba parking ni kubwa kwenda juu halijakamilika bado bank ya India mitaa ya posta kama yanaangaliana.
Pale karibu na Holiday inn
Mitaa kati ya azam round about na kule Holiday inn
Parking yao naona kama ina floor 7 sijui 10 tobaaa
Kama ndo hilo nilitaka niliseme hata mimi kwamba naona kama lile refu sana
 
Pale karibu na Holiday inn
Mitaa kati ya azam round about na kule Holiday inn
Parking yao naona kama ina floor 7 sijui 10 tobaaa
Kama ndo hilo nilitaka niliseme hata mimi kwamba naona kama lile refu sana
Zile floor kibao ni parking tu yaani bonge la jengo
 
Jengo yalipo makao makuu ya bandari, google imaonyesha kuwa ni hilo. Still, hata kama makao makuu ya bandari hayako kwenye jrngo hilo, bado jengo refu kuliko yote Tanzania ni hilo
Hayo ndio majengo marefu zaidi Tz , la bandari likifuatiwa na hayo pacha, sio lile la mawasiliano pale la nssf
Screenshot_20221126-223727_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom