Jengo refu kuliko yote Tanzania hadi mwaka 2022

Jengo refu kuliko yote Tanzania hadi mwaka 2022

Haupo Dar? Uko wapi? Lipo pale njiani barabara ya Sam Nujoma usawa wa maeneo ya Mlimani City likiwa limesimama peke yake kabisa
Weka picha wewee. Siyo unasimuliwa kwenye vijiwe vyenu huko kijijini halafu unakuja kutujuza jamvin
 
Bongo hatuna hata jengo la ghorofa 50?
Sio Bongo tu sema Africa jengo refu la floor 50 lililoshikilia record kwa miongo kadhaa Africa ni Sandton tower Johanesburg, majengo marefu Africa yalikuwa hayazidi floor 32, majengo ya floor 50 ya hivi karibuni ni Iconic tower Egypt ambalo bado halijakamilika, Britam tower Nairobi ambalo limekamilika hivi juzi tu, yapo na mengine ila sina uhakika nayo, kwa hiyo kwa hayo tuliyonayo sisi ya 35+ na 40 tupo far ahead ya nchi nyingi tu Africa.
 
Watu ndio hufuata majengo, majengo hayafuati watu, Mlimani city nani alitegemea ingekuwa hivi ilivyo issue ni marketing tu hayo majengo soon yatakuwa full mpaka utashangaa.
Hivi Pale kodi ni shingapi
 
Opened in 2019 this is currently the tallest structure in Tanzania located along Sam Njuoma road in Dar es Salaam the building was constructed by Estim a Tanzanian company. The builiding is a complex with a 35flr tower and a 9 flr tower for office and commercial purposes with an ample parking space.6

The Tanzania Ports Authority Tower in Dar es salaam city is the 1st tallest building in the country! also ranked as number 10 of the tallest building in the African continent! The building height is 162 meters with 40 floors, its construction was completed in 2016.20 Feb 2022
Stupid picha iko wapi
 
Hilo ghorofa ni kwa ajili ya ofisi tu, waweke na makazi watu wapange waishi.

Au haiwezekani ofisi na makazi kua pamoja??
 
Back
Top Bottom