Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Acha ubishiHayo ndio majengo marefu zaidi Tz , la bandari likifuatiwa na hayo pacha, sio lile la mawasiliano pale la nssfView attachment 2428474
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubishiHayo ndio majengo marefu zaidi Tz , la bandari likifuatiwa na hayo pacha, sio lile la mawasiliano pale la nssfView attachment 2428474
Weka picha wewee. Siyo unasimuliwa kwenye vijiwe vyenu huko kijijini halafu unakuja kutujuza jamvinHaupo Dar? Uko wapi? Lipo pale njiani barabara ya Sam Nujoma usawa wa maeneo ya Mlimani City likiwa limesimama peke yake kabisa
Hii ndo field yako mkuu ya civil engineeringNi ‘Architect’ , sio ‘Architecture’.
Ni kama usema ‘information’ badala ya ‘informant’,
Hence ‘Information’ is to ‘informant’
As
‘Architecture’ is to ‘Architect’
Na empty.Kwa sasa, ukanda wa Afrika Mashariki na kati, huenda jiji la Dar ndio lenye skyscrapers nyingi, ndefu na nzuri.
Yani sikuhio nimepita pale nikaliangalia weeh nikawaza mfano ndo jengo mtu analijenga, Watu wana mawee nikajipitia zanguZile floor kibao ni parking tu yaani bonge la jengo
Watanzania hawapendi.majengo ya juu,wanapenda single floor.Ni zuri kwa kweli.
Shida floor nyingi zipo wazi...Hiyo hasara sijui PSSSF wanafanyaje.
Kwa sasa, ukanda wa Afrika Mashariki na kati, huenda jiji la Dar ndio lenye skyscrapers nyingi, ndefu na nzuri.
Factor ni zile zileWatanzania hawapendi.majengo ya juu,wanapenda single floor.
Sio Bongo tu sema Africa jengo refu la floor 50 lililoshikilia record kwa miongo kadhaa Africa ni Sandton tower Johanesburg, majengo marefu Africa yalikuwa hayazidi floor 32, majengo ya floor 50 ya hivi karibuni ni Iconic tower Egypt ambalo bado halijakamilika, Britam tower Nairobi ambalo limekamilika hivi juzi tu, yapo na mengine ila sina uhakika nayo, kwa hiyo kwa hayo tuliyonayo sisi ya 35+ na 40 tupo far ahead ya nchi nyingi tu Africa.Bongo hatuna hata jengo la ghorofa 50?
Watu ndio hufuata majengo, majengo hayafuati watu, Mlimani city nani alitegemea ingekuwa hivi ilivyo issue ni marketing tu hayo majengo soon yatakuwa full mpaka utashangaa.Ni zuri kwa kweli.
Shida floor nyingi zipo wazi...Hiyo hasara sijui PSSSF wanafanyaje.
Hivi Pale kodi ni shingapiWatu ndio hufuata majengo, majengo hayafuati watu, Mlimani city nani alitegemea ingekuwa hivi ilivyo issue ni marketing tu hayo majengo soon yatakuwa full mpaka utashangaa.
Sio 80%, ingekuwa 80% hata hizo 20% zingeonekana vizuri. Lile jengo 90% ni tupu kabisa napitaga pale kila siku.80% liko tupu.. uwekezaji wa hasara huo
Stupid picha iko wapiOpened in 2019 this is currently the tallest structure in Tanzania located along Sam Njuoma road in Dar es Salaam the building was constructed by Estim a Tanzanian company. The builiding is a complex with a 35flr tower and a 9 flr tower for office and commercial purposes with an ample parking space.6
The Tanzania Ports Authority Tower in Dar es salaam city is the 1st tallest building in the country! also ranked as number 10 of the tallest building in the African continent! The building height is 162 meters with 40 floors, its construction was completed in 2016.20 Feb 2022
... architect ...... architecture alikaa ...
Pesa ipo kwa kweli 😅😅Yani sikuhio nimepita pale nikaliangalia weeh nikawaza mfano ndo jengo mtu analijenga, Watu wana mawee nikajipitia zangu
Jaribu hata kugugo kama hata kwa macho umeshindwa kuonaAcha ubishi