Vertas Kimaro
Member
- Jul 22, 2022
- 16
- 20
Na sijui hawa akina NSSF na akina PSSF huwa wanakwama wapi kwenye kupromote majengo yao angali ni mazurii tu...Moshi kuna jengo la NSSF lina flow 9 nadhani na ni miongoni mwa majengo mazuri na ya kuvutia sana ila sasa flow 5 zote kama sio 4 za juu zipo emptyNi zuri kwa kweli.
Shida floor nyingi zipo wazi...Hiyo hasara sijui PSSSF wanafanyaje.
Hayo ndio majengo marefu zaidi Tz , la bandari likifuatiwa na hayo pacha, sio lile la mawasiliano pale la nssfView attachment 2428474
| RANK | Name | Height |
|---|---|---|
| 1 | Tanzania Ports Authority Headquarters | 157 m / 515 ft |
| 2 | PSPF Commercial Tower A | 152.7 m / 501 ft |
| 3 | PSPF Commercial Tower B | 152.7 m / 501 ft |
| 4 | Mwalimu Nyerere Foundation Square | 145 m / 476 ft |
Weka picha. Nyau wewewOpened in 2019 this is currently the tallest structure in Tanzania located along Sam Njuoma road in Dar es Salaam the building was constructed by Estim a Tanzanian company. The builiding is a complex with a 35flr tower and a 9 flr tower for office and commercial purposes with an ample parking space.6
The Tanzania Ports Authority Tower in Dar es salaam city is the 1st tallest building in the country! also ranked as number 10 of the tallest building in the African continent! The building height is 162 meters with 40 floors, its construction was completed in 2016.20 Feb 2022
Acha porojo jamvin weka picha.Tanzania Ports Authority Headquarters
Buildings
RANK Name Height 1 Tanzania Ports Authority Headquarters 157 m / 515 ft 2 PSPF Commercial Tower A 152.7 m / 501 ft 3 PSPF Commercial Tower B 152.7 m / 501 ft 4 Mwalimu Nyerere Foundation Square 145 m / 476 ft
Sources: tallest building in tanzania - Sök på Google
Chezea wachaga weweePesa ipo kwa kweli 😅😅
Sio wachaga toa upumbavu wako hapa!!Chezea wachaga wewee
Huyu jamaa kaeleza kwa usahihi kabisa...Sio hili, jengo refu Tz ni lile la Bandari, likifuatiwa na yale majengo pacha ya psssf , yale ukiwa sehemu nyingi Dar lazima uyaone
Angalia vzr hii video...jamaa kayapsngilia vzr bila kukoseaHayo ndio majengo marefu zaidi Tz , la bandari likifuatiwa na hayo pacha, sio lile la mawasiliano pale la nssfView attachment 2428474
Mabonde ya ufa hayahitaji ghorofa refu,talk of Mwanza,Mbeya,Arusha na Dsm kote huko kuna element za Rift valleySio Bongo tu sema Africa jengo refu la floor 50 lililoshikilia record kwa miongo kadhaa Africa ni Sandton tower Johanesburg, majengo marefu Africa yalikuwa hayazidi floor 32, majengo ya floor 50 ya hivi karibuni ni Iconic tower Egypt ambalo bado halijakamilika, Britam tower Nairobi ambalo limekamilika hivi juzi tu, yapo na mengine ila sina uhakika nayo, kwa hiyo kwa hayo tuliyonayo sisi ya 35+ na 40 tupo far ahead ya nchi nyingi tu Africa.
Gharama za kupanga ni kubwa ila kampuni za kutosha bongo tatizo gharama ni kubwa sana kupanga kwenye hizi gharofa nzurinzuriNi zuri kwa kweli.
Shida floor nyingi zipo wazi...Hiyo hasara sijui PSSSF wanafanyaje.
Tofauti ni dhana za kazi bossHuo ndio ukweli hata mkinuna. Kwani Dr wa mitishamba ana tofauti gani na mganga wa kienyeji hata Dr mwaka si wa kienyeji na yupo ubungo plaza
Watashusha kikokotoo cha wastaafu.Shida floor nyingi zipo wazi...Hiyo hasara sijui PSSSF wanafanyaje.