Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania

Machawa mnakuja na mbwembwe humu na kibibi chenu cha kiarabu.. tukiwauliza gharama zipoje ili tujadili, mnatugeuzia makalio.. pumbavu kabisa kabisa..!
 
Na bado unajitambua kuwa 'GT' hata huwezi kuelewa maana ya nilichoandika?

Wewe ni mpiga zumari tu, ndiyo maana nikakuwekea ulaghai huo wanaoutumia wakidhani watu hawajui kitu. Sasa watu kama wewe, bado unafikiri hizo bilioni 17, eti ni uwekezaji? Uwekezaji upi, upo wapi?
 
Tambueni wakati jengo Hilo linajengwa mkurugenzi wake Dubai alikua mtu kutoka Tanzania tuseme alirudishwa kuja kua mkurugenzi NHC Tanzania ,sijui shirika lanyumba Dubai linaitwaje lakini ndivo ilivo
 
Nilikua naangalia Station moja ya nje muda huu [emoji1256] UAE na Tanzania wana mpango wa makusudi kuwaondoa wamasai ngorongoro ili kubinafsisha hiyo hifadhi. Tuendelee kuomba hali siyo nzuri huko mbeleni.
Kweli hali sio nzuri na bandari ndio inaenda kiutaniutani
 
likiwaka kwa picha ya jemedari magufuli juu yake nyerere itapendeza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…