Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania

Jengo refu zaidi Duniani la Burj Khalifa - Dubai lapambwa kwa picha za Bendera ya Tanzania

Sasa hivi mgogoro huo unajadiliwa Aljazera katika Stream.
Marudio ya mjadala huo ni saa 5.30 na jioni saa 11.30. Ni vema tufatilie ulimwengu unatuzungumziaje katika suala hili la Ngorongoro
Mjadala huo
20220301_074510.jpg
 
Sasa hivi mgogoro huo unajadiliwa Aljazera katika Stream.
Marudio ya mjadala huo ni saa 5.30 na jioni saa 11.30. Ni vema tufatilie ulimwengu unatuzungumziaje katika suala hili la Ngorongoro
Asante kwa taarifa mkuu nitautafuta huo mjadala.
 
Inalipiwa Dinari (Dirham) 250,000 ambayo ni sawa na Shiling 157,568,744.52 kwa dakika tatu !!! Baadaye tutaenda kuomba msaada au mkopo.
It's a shame! Kama kweli tumelipa kiasi hiki alafu Taifa zima, mitandao yote! Tunashangilia hadi Television ya Taifa [emoji17]
 
Hapo kuna mastaa wanawekwa siku za birthday zao sasa si aibu hii taifa zima kushangilia namna hii? Tumelogwa? Unfortunately ni pesa yako tu unarushwa pale! Tunarejea kwa kasi kwenye unnecessary issues [emoji58]
Hata kama fedha zimetoka serikalini.

Ni kutoka katika mfuko upi??

Ambao unaruhusu nchi ambayo hainiwezi kiuchumi kwa mikopo kufanya anasa za namna hii??

Kuna watu hawana uchungu kabisa na fedha za wananchi maskini.

Wanazitumia tu kwa mambo ambayo hayana tija kabisa.
 
Kwanini wasingweeka picha/videos za vivutio vya utalii, Madini, mazao ya kilimo vinavyopatikana TZ?
Unaanza kwanza na Nchi, baadaye utakuja weka hivyo unavyovitaka. Creativity haifi bali inaendelea na inabadilika
 
I think Kama unaweza kutumia milioni 157 kujitangaza then ukapata watalii kutoka Dubai naamini sio tatizo since huwezi kupata hela kama hauna hela.

Ukiacha mambo ya mkataba wa Loliondo, waarabu wanaokuja kula maisha mngekuwa mnaona Ile convoy yao Wala isingekuwa hii million 157 ni ishu kabisa.

Mswahili usipotangaza yanakuwa maneno mkasema mbona Kagame anatangaza visit Rwanda kule Arsenal, Mara Kenya wanatangaza kwenye CNN, hivi unajua Tangazo moja CNN inalipiwa bei gani???

Kwa namna hii ya thinking tuna safari ndefu sana, nadhani wamefanya kazi nzuri mno wakati mwingine tusiwaze kwa kuangalia myopically.

Kama Kuna 10% hiyo anayejua aje aseme otherwise wacheni kazi ifanyike wandugu tutamtumia Mrisho Mpoto au Wanne Star mpaka lini? Kwanza alipwe milioni sita Yani nanii anamjua??? Unapoweka tangazo watu wanauliza hii bendera ya wapi? Then anapogoogle anakutana na Mt. Kilimanjaro, Serengeti etc hata agents wa watalii wanaona.

Let's be positive. Wakati mwingine ukiwa kiongozi halafu unafanya mema watu wanaibuka namna hii ndio unajikuta unasema wacha nipige hela zangu nimalize muda nikastaafu kwa raha.

Let's show appreciation kwa kufikiria positively, imagine Will Smith, Angelina Jolie wanapokuja wanalala Grumeti kule Serengeti wanaacha bei gani? Chumba kulala dola 2000 per night hapo hajataka kiwe customised ambapo huwa mpaka 12,000 dollars per night.

Sasa lazima tujiulize mtu mwenye hela zake aliyezoea kwenda Hawaii, Malibu, Malta, Santorini nk anaanzaje kujua mlima Kilimanjaro, Serengeti nk wakati agents wake wanachojua ni Alps mountains, Niagara falls nk? Lazima tukubali tutumie pesa ndio pesa itakuja, the fact tuna hivi vivutio haimaanishi kwingine hakuna, yaani Malaysia wanajitangaza CNN, Croatia, Switzerland yenyewe, Netherlands, sisi ni nani tusitangaze ili wajue? Tukiacha wataenda Kluger National park au Nairobi National Park or Masai Mara nako Kuna Simba, chui etc then tutaanza kulalamika.

On my side, Dubai is the best spot kwa kutangaza kwa sasa Tena tunapaswa kufungua information centre pale ambayo TIC na ministry ya utalii kwa maana ya Tanapa na foreign affairs wawepo pale Kama tourist information centre maana matajiri wa dunia na watu wengi sana wapo pale kustarehe so wanapata muda wa kuangalia na kuuliza hii ni wapi? Then atajiuliza Kuna nini huko mbona wameweza kutangaza?? I believe ni wazo zuri sana na la kupongezwa forget about gharama ya Tangazo 157 million think about Return On Investment.

Najua nitashambuliwa Ila tuwe positive sometimes.
Bendera imetangaza vipi utalii? Ukikuta Bendera ya Jamaica pale posta utavutiwa na Jamaica? Hivi unajua hata TIC yetu haina vitu vya msingi mtandaoni ambavyo vingesaidia wawekezaji wanaotafuta taarifa muhimu za nchi waweze kuzitumia kufanya maamuzi ya angalau ya awali?
 
Lengo refu zaidi duniani linalofahamika kwa jina la #Burj Khalifa lililopo #Dubai, likiwa limenakshiwa na rangi ya bendera ya Tanzania, jana Februari 28, 2022.

View attachment 2134709
Matunda ya Mama hayo ( Bibi Tozo ) Nampenda na Kiukweli mama anabaki kuwa Mama maana Baba hakuwa hivi ila Mama Matunda yake tunayaona Mungu Mbariki Mama yetu awe na Maisha Marefu na Afya Njema aendelee kuipeperusha bendera yetu ya Tanzania
 
It's a shame! Kama kweli tumelipa kiasi hiki alafu Taifa zima, mitandao yote! Tunashangilia hadi Television ya Taifa [emoji17]
Hujafika Burj Khalifa na hujui ni nini maana ya world tallest building. Endelea kusoma wajuzi wa marketing specifically billboard marketing wakufahamishe.

Ushamba mzigo
 
Hawa watoa mikopo nao wana lao jambo si bure!
Nalog off
Kutoa mikopo nayo ni biashara yakhe! Mjinga anakopa laki kwa riba ya 21%pm kisha anakwenda Bar kutangaza jina.
Kisha baada ya mwezi anashindwa kulipa 121,000/ na baada ya mwaka deni linakuwa 600,000/ anakabidhi shamba.
Ndio sisi TZ
 
Iwe bendera ya Tanzania pekee wakati jengo lipo Dubai? Hata picha za mastaa wakubwa wenye uhusiano mzuri na wa karibu na ufalme wa kule eg. Cristiano Ronaldo wakienda Dubai zinawekwa.
Na ukumbuke Tumelipia pesa ndefu Sana ili like jengo kuligeuza kuwa bango,ha mchezaji CR7 alishafanya hivyo.
 
I think Kama unaweza kutumia milioni 157 kujitangaza then ukapata watalii kutoka Dubai naamini sio tatizo since huwezi kupata hela kama hauna hela.

Ukiacha mambo ya mkataba wa Loliondo, waarabu wanaokuja kula maisha mngekuwa mnaona Ile convoy yao Wala isingekuwa hii million 157 ni ishu kabisa.

Mswahili usipotangaza yanakuwa maneno mkasema mbona Kagame anatangaza visit Rwanda kule Arsenal, Mara Kenya wanatangaza kwenye CNN, hivi unajua Tangazo moja CNN inalipiwa bei gani???

Kwa namna hii ya thinking tuna safari ndefu sana, nadhani wamefanya kazi nzuri mno wakati mwingine tusiwaze kwa kuangalia myopically.

Kama Kuna 10% hiyo anayejua aje aseme otherwise wacheni kazi ifanyike wandugu tutamtumia Mrisho Mpoto au Wanne Star mpaka lini? Kwanza alipwe milioni sita Yani nanii anamjua??? Unapoweka tangazo watu wanauliza hii bendera ya wapi? Then anapogoogle anakutana na Mt. Kilimanjaro, Serengeti etc hata agents wa watalii wanaona.

Let's be positive. Wakati mwingine ukiwa kiongozi halafu unafanya mema watu wanaibuka namna hii ndio unajikuta unasema wacha nipige hela zangu nimalize muda nikastaafu kwa raha.

Let's show appreciation kwa kufikiria positively, imagine Will Smith, Angelina Jolie wanapokuja wanalala Grumeti kule Serengeti wanaacha bei gani? Chumba kulala dola 2000 per night hapo hajataka kiwe customised ambapo huwa mpaka 12,000 dollars per night.

Sasa lazima tujiulize mtu mwenye hela zake aliyezoea kwenda Hawaii, Malibu, Malta, Santorini nk anaanzaje kujua mlima Kilimanjaro, Serengeti nk wakati agents wake wanachojua ni Alps mountains, Niagara falls nk? Lazima tukubali tutumie pesa ndio pesa itakuja, the fact tuna hivi vivutio haimaanishi kwingine hakuna, yaani Malaysia wanajitangaza CNN, Croatia, Switzerland yenyewe, Netherlands, sisi ni nani tusitangaze ili wajue? Tukiacha wataenda Kluger National park au Nairobi National Park or Masai Mara nako Kuna Simba, chui etc then tutaanza kulalamika.

On my side, Dubai is the best spot kwa kutangaza kwa sasa Tena tunapaswa kufungua information centre pale ambayo TIC na ministry ya utalii kwa maana ya Tanapa na foreign affairs wawepo pale Kama tourist information centre maana matajiri wa dunia na watu wengi sana wapo pale kustarehe so wanapata muda wa kuangalia na kuuliza hii ni wapi? Then atajiuliza Kuna nini huko mbona wameweza kutangaza?? I believe ni wazo zuri sana na la kupongezwa forget about gharama ya Tangazo 157 million think about Return On Investment.

Najua nitashambuliwa Ila tuwe positive sometimes.
Bondpost, mkuu sina nyongeza kwa hii shule uliyopiga hapa. Naamini unaweza ukaiboresha na kuiweka kwenye majarida makubwa ya marketing hata like la Havard Business Review. Au unaweza ukafanya hata professorial lecture kwa wanafunzi wa postgraduate kwenye university yeyote nchini.

Kama kuna mwana JF anakubishia ni kwa sababu zifuatazo:

1. Ni mbumbumbu wa biashara za kimataifa

2. Ni mmoja kati ya WAPINZANI wa kazi za Rais SSH, lazima wapinge kila kitu chake
 
Tatizo la kuamka na hangover hebu kunywa supu kwanza, hizo billions alizopata mie Sina ishu nazo na siongelei hapa kabisa hizo ni mambo ya miradi mingine ambayo walishamaliza maongezi na walikuwa kwenye stage ya kusaini Ila Rais huwa anatumia lugha fulani nyepesi kwamba "kuna vijifedha amepata'. Actually sijaongelea kabisa issue hizo Zina mihemko watu Wana njaa wakisikia anatana hela wao tayari wanaweka na zao kwamba ameiba basi asitaje kabisa.

Anyway nimeongelea masuala ya kujitangaza nchi kwa kuvutia uwekezaji zaidi na utalii na madini nk. Nilichoandika ni kutokana na mleta mada alivyowasilisha na pia nilikuwa najibu kwa mtu aliyesema wametumia milioni 157 kuweka hilo tangazo. Labda uanze upya kusoma ndipo usome taratibu hii response yangu then uje Tena.

Nakuona unalohangaika kuhusu trilioni 17 hizo sio hard cash ni uwekezaji kulingana na makubaliano kadhaa waliyosaini mawaziri alioenda nao. Na hizo pesa sio amerudi nazo kwenye pochi mzee. Subirini viwanda vije watu waajiriwe hii sio vile viwanda elfu kumi kila mkoa mlidanganywa sana na ajira mkakosa maana mnaaminishwa kwenye mambo ya zinduna how possible can it be uwe na viwanda sijui elfu arobaini kila mkoa na huyu philipo mpango ndio alikuwa bingwa wa cooked data.

Tulia usome uelewe.
Hongera kwa uandishi wako. Yaani unaandika kwa maneno mepesi sana kiasi hata mtu ambaye hajawahi kufika Std 1, anaelewa.

Mtu asipokuelewa ajihesabu ni mlemavu wa akili. Hakuna msaada tunaweza kumsaidia. Hongera Bondpost
 
Inalipiwa Dinari (Dirham) 250,000 ambayo ni sawa na Shiling 157,568,744.52 kwa dakika tatu !!! Baadaye tutaenda kuomba msaada au mkopo.
Nchi utadhani inaongozwa na mazombii?
Au tatizo ni sisi kondoo tunaoongozwa kupitia chama cha mbogamboga?
 
Hakuna cha bure si tunawapa ngorongoro
 
Na ukumbuke Tumelipia pesa ndefu Sana ili like jengo kuligeuza kuwa bango,ha mchezaji CR7 alishafanya hivyo.
Na bado tujiulize bendera yaweza kumfanya mtu akasafiri kwenda kutalii mahali? Tunakopa mamilioni ya dola kujenga vyoo vya shule na kutumia mamilioni ya dola kutangaza bendera ambayo hata club ya Yanga wanayo!
 
R na L ni shida sana na mtu alisoma Kiswahili toka primary school dah. Binafsi nikiona uandishi wa namna hii huwa naelewa level yako ya elimu na IQ yako.

Sina uhakika Kama una shule wewe. Kama una shule japo darasa la Saba nakushauri ujitahidi uandike kiswahili Cha kuandika sio Cha kuongea ambacho labda imeathirika na mother tongue.
Sawa
 
Back
Top Bottom