Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta


Makubwa!
Vipi Clouds imepona na Janga la Moto?
 
Tatizo ni kwamba CM G wamekwama kimkakati sasa wanatafuta nusra kwa habari za kishilawadu.
Walianzisha clouds plus wakashindwa kuirun,matokeo yake wanawataka watu walipie kuangalia show za fiesta.

Ushauri wangu ikiwezekana Joseph Kusaga amtafutie Ruge kazi nyingine maana huyu jamaa ataipeleka CM G kuzimu ni suala la muda tu!
 
Kama ni kweli, huu uhujumu ni mbaya sana na ni wa kukemewa na jamii yote ya wapenda haki.
 
maneno mazito sana ...vitendo vizito sana....napita tuuu
 
Fiesta ina umuhimu gani kuliko msaada kwa walemavu?
hapo umenena ndugu.wataalamu wa kivita wana kwambia ukitaka kushindana na adui ongeza taaluma ya vilipuzi.miaka ya nyuma clouds ndio ilikuwa mabingwa wa fitina kwenye soko la burudani wajaribu kuongeza juhudi ya vilipuzi katika kazi zao
 
hapo umenena ndugu.wataalamu wa kivita wana kwambia ukitaka kushindana na adui ongeza taaluma ya vilipuzi.miaka ya nyuma clouds ndio ilikuwa mabingwa wa fitina kwenye soko la burudani wajaribu kuongeza juhudi ya vilipuzi katika kazi zao

Naskia Bashite atawatembelea leo.
 
Mm na nawashauri cloudz waanzie sokoni kwanza,,
Kinchowatafuna n
kuisapoti ccm na serikali yake
Wanashindwa ata kukosoa serikali inapokoseaa
Sasa huyu mliemfanya kama ndugu na rafiki katika business atawasumbua sana kwan nae anawafasi wake sokoni
 


Jina lako ni Heavy Load na Ubongo unaweza kuwa heavyload pole rafiki.
 
Mpumbavu akishauriwa huona katukanwa!!!

Lipa kwanza kodi ya nyumba uje kubishana hapa kwa hoja weka tofauti kati ya Free to Air channel na Subscriber channel ambazo unalipia Heavy Load (Mzigo Mzito) Clouds Plus ni subscriber chanel inayokulazimu ulipie ili upate huduma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…