Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

Nafikiri kila mtu ana uhuru wa kuchagua wapi pa kwenda kwenye burudani, sidhani kama kuna mtu wa kushindana na Clouds FM maana mmesha kuwa wabobezi kwenye mambo ya burudani. Kama kuna namna wenzetu wenye ulemavu watapatiwa msaada na Mkuu wa Mkoa sawa tu, FIESTA HAITAPUNGUKIWA NA KITU.
 
Upepo mbaya wa kisiasa unamyemelea bwana mkubwa mmoja na hii huenda ni kutokana na ushauri mbaya anaoupata toka kwa marafiki zake kwa nje ilhali ndani wakiyachukia mafanikio yake na kumtakia mabaya yamfike!

Nimejaribu kufuatilia na kufanyia tathmini ya yanayoweza kujitokeza siku ya tukio la fiesta na baada ya siku hiyo nikaona ni bora nimtaadharishe 'boss mtoto' huyo kwa kuwa nampenda na sipendi nyota yake ya kisiasa ikafia njiani.

Boss mtoto bado ni kijana mdogo na tunamuhitaji katika utumishi wa uma. Hivyo ninachukua nafasi hii kumtaadharisha aachane kabisa kujihusisha kwa namna yeyote ile na haya mambo ya fiesta. Tena ikiwezekana siku hiyo asafiri nje ya mkoa ili upepo mbaya upite.

Ni hivi, kutokana na maagizo ya boss mtoto, polisi wataweza kuingilia kati kuhakikisha tukio la fiesta linakwisha itakapotimu saa sita kamili. Kumbuka muda huo kwenye mkusanyiko wa fiesta kutakuwepo na mkusanyiko kama wa watu elfu ishirini na zaidi WALIOLEWA pombe!

Kitendo cha polisi kuingilia mkusanyiko huo huenda kikasababisha stampede (mkanyagano) na hali hiyo inaweza kusababisha vifo vinavyokadiriwa kuwa kati ya 60-120!

Tukio hilo litakuwa ni baya na la aina yake kuwahi kutokea hapa nchini na hili litazua hasira kali ya wananchi ambao watashinikiza bosi mtoto ang'olewe mara moja.
Kumbuka kuwa, polisi wamekuwa wakizima vurugu uwanja wa taifa wenye watu kadiri ya elfu sitini bila shida kutokea, ila hawa wa fiesta ni watu waliokwishalewa pombe mida hiyo ya usiku. Kwa hiyo, sanity ni kitu adimu uwanjani hapo.

Nimeshawahi kukaa baa. DJ anazima mziki na watu hawataki kuondoka. Wao wameshajipanga kukaa hapo mpaka kukuche. Kwa hiyo, hata mawingu wakizima muziki muda huo, am sure mashabiki hawatokubali kuondoka kwa hiyari kwa kuwa kiu yao bado itakuwa haijakwisha. Kwa hiyo kitendo cha kuwaondoa kwa nguvu, kitakuwa ni janga kubwa kuwahi kutokea kwenye historia ya mikusanyiko ya nchi hiii!

Na hata ukisema kuwa mziki uwahi kuzimwa, Mawingu watakuwa wameshatengeneza pesa yao upfront. Kuwahi kumaliza au kuchelewa kumalizika kwa tukio, haliwatii hasara yeyote mawingu studio kwa sababu wao tayari wameshalamba kiiingilio chao.

Ninamshauri boss mtoto afunike hili kombe ili mwanaharamu apite. Huu ni upepo mbaya sana kwake na akicheza nao, unaweza kumuondoa vibaya sana. Kwa hiyo kwa sababu nampenda, nimeona tu nimtaadharishe up front kabla mambo hayajamwaribikia tena.
Eti unajiona jinias kwa ushauri huu ambao lengo sio kumsaidia Makonda bali wewe mleta uzi na mawingu!
Fiesta mwisho saa sita, zaidi ya hapo hamieni kwenye ukumbi wenye sound proof!
 
mamaeeeeee wakati wapo pamoja mbona hatukuyaona haya
ila sitashangaa iyo siku hapo leaders wanatumia jenereta mwanzo mwisho maana lazima umeme ukatwe tu
clouds si wa kuonewa huruma kamwe hao ni nuksi kwa fitina hapa nchini
 
Nafikiri kila mtu ana uhuru wa kuchakua wapi pa kwenda kwenye burudani, sidhani kama kuna mtu wa kushindana na Clouds FM maana mmesha kuwa wabobezi kwenye mambo ya burudani. Kama kuna namna wenzetu wenye ulemavu watapatiwa msaada na Mkuu wa Mkoa sawa tu, FIESTA HAITAPUNGUKIWA NA KITU.
mi nashangaa sana jamaa na uzoefu wao wote wa kutoa burudani nchini jasho linawatoka kwa ishu ndogo kama hii na wakiendelea na woga huu EFM watawapiga bao la karne mwaka huu maana wao wanajua namna ya kutumika
 
Sheria ni msumeno, saa sita mwisho, kwisha kazi, anaetaka kufa kwa stampede hiyo na akafe tu huko kwenye fiesta, sheria haiangalii sura.
 
mamaeeeeee wakati wapo pamoja mbona hatukuyaona haya
ila sitashangaa iyo siku hapo leaders wanatumia jenereta mwanzo mwisho maana lazima umeme ukatwe tu
clouds si wa kuonewa huruma kamwe hao ni nuksi kwa fitina hapa nchini

Waache wapigwe maana waliyataka wenyewe,naona na wale wanaojiita EFM nao wanaenda huko huko wakishapata kichapo akili itakaa sawa
 
Unafiki bhana mnafk mzandiki utamjuwa
sasa fiesta ina umuhm gan kwa uyo makonda? au fiesta inamkwamisha makonda kaz zake? em tuangalie ya muhm ya kufanya kama clouds wenyew watavuruga itakuwa mbaya na sisi haitup faida yeyote anayeingiza pesa ni ruge na team yake...

leteni mambo ya kujenga nchi na sio use huu jamn
 
Kuchonganisha jamii siyo jambo jema.

Kwa nini, fiesta wasichukue hatua ya kuvuka dar au kuiondoa kabisa Dar kwenye ratiba yao na kuendelea na mikoa mingine ambako fiesta ina kubarika na viongozi au uongozi wa mikoa hiyo!?

Btw, kila jambo lina umuhimu wake ila fiesta siyo muhimu hata ikikosekana kila mwaka hadi kipindi cha miaka mi tano 5 bado hakutakuwa na faida au hasara kubwa ya moja kwa moja maana zaidi fiesta ni starehe zaidi.
Naona nawewe ni wale wale umewahi kufanya Biashara yoyote japo ya Genge?
 
Makonda Anaendeleza Uhuni kwa Upumbavu wa Chadema, I wish I was the guy with final say in Chadema. Kitendo cha kupotea Ben Saanane by the way mdogo wangu! Na kupigwa Risasi Lissu kiliwajastify wamalize huu uhuni once and for all! But Wako kimya. Hii itafanya Mhuni aone uhuni Unalipa.

Ulitaka wafanyeje? Mkuu unaonyesha Ujasiri nyuma ya Keyboard Shuka Bongo uone watu wanayotendewa....
 
Back
Top Bottom