Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Baada ya Haji Manara kukataa kuzungumzia pambano la tarehe 8 kwa kuwa mwenyeji ni Yanga na akifanya hivyo ili tu kutohamasisha washabiki kujaa uwanjani sasa Jerry anakuja kufanya kazi ya kupiga kelele ili hilo pambano lijaze uwanja na Yanga wapate chochote kitu.
Baada ya hiyo mechi ya tarehe 8 Jerry atapotea na kuendelea na majukumu yake ya kiserikali.
Baada ya hiyo mechi ya tarehe 8 Jerry atapotea na kuendelea na majukumu yake ya kiserikali.