Jerry Muro ni wa kutilia shaka sana ujio wake Dar | TAKUKURU Kuweni makini hapo

Jerry Muro ni wa kutilia shaka sana ujio wake Dar | TAKUKURU Kuweni makini hapo

Amesema yuko likizo time
Leo Jumatano ikiwa ni siku ya kazi, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha alikuwa katika studio za Wasafi Fm jijini Dar Es Salaam akihojiwa mambo ya michezo kuhusu Klabu ya Yanga.

Huo ni muda ambao alipaswa awe ofisini kule Arumeru akiwahudumia wananchi wake ili kuendana na kauli ya Hapa Kazi Tu. Je Dc Jerry Murro ni mtoro kazini? Au yupo likizo?
 
Mashabiki wa yanga akili zao ni kama kuku wa kienyeji.Leo wanamsifia jerry muro ila muda si mrefu watakuja lia.baadhi ya maneno aliyoyazungumza ni pamoja na kuponda mwelekeo wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu na kudharau udhamini wa gsm.
Bahati mbaya washabiki na wanachama wa yanga kwa kweli hadi leo hawajui wanataka nini wanamtazama muro kama mtu sahihi wa kupambana na maneno shombo ya manara,kwao wao manara ni kero isioelezeka.kundi hili hawajui dawa ya kumyamazisha manara ni timu yao kufanya vizuri.lakini pia kuna kundi linalotaka timu ifanye vizuri kwa kuhurumiwa tu,kundi hili ndio lenye kuendesha malalamiko ya kuhamahama mara simba wanapulizia dawa vyumbani,mara tff na bodi ya ligi zinatuonea mara waamuzi wanatuonea mara timu pinzani zinatukamia,ilimradi ni malalamiko tu kila kukicha na usipokuwa makini unaweza kudhani wana hoja za msingi kumbe hamna kitu chochote ila ni kuficha tu madhaifu yao ambayo si mengine ni kuwa timu yao haina uwezo,hivyo huwezi kushinda eti kwa sababu wewe ni yanga.
Katika hali hiyo ya kutojitambua ndiposa anatokea jerry muro kama mkombozi kwanza wa timu kushinda na pili wa kumdhibiti haji manara.
Amini nawaambia jerry muro kwa faida ya uongozi uliopo wa yanga amekuja uvuruga mchakato wa mabadiliko wa klabu,hebu fikiri iweje uongozi umpe nafasi ya kuongea na wao wakiwepo halafu ktk kikao hichohicho anasisitiza timu haiwezi kuwa ya mabwanyenye kama ilivyo simba.je ina maana bwanyenye ni Dewji tu na Gharib Salim Mohammed (GSM) sio bwanyenye? Kwa nni viongozi wanachekelea wakati muro alipoyasema haya?
Mchakato ukivurugika ni viongozi watakaofaidika kwa kuwa wataitafuna yanga kama mchwa,hivi sasa inasemekana hawafurahishwi na kitendo cha gsm kutoa pesa bila kupitia kwao.
Yote kwa yote jerry muro ana ajenda maalum ambayo ni yeye,msola na mwakalebela tu ndio wanaoijua wengine subirini muone matokeo ya Gharib anavyotoka mbio pengine kuliko zile za Manji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAKAZIA NA KUUNGA MKONO HOJA "TAKUKURU KUWENI MAKINI" KWA MUJIBU WA MURO NI KWAMBA GAME WAMESHAICHEZA NJE YA UWANJA BADO NDANI TU. MANAKE NI NINI???

1. LEO KUNA HATARI YA YANGA KUPATA PENATI YA UPENDELEO
2. KUNA HATARI YA KUFUNGA KWA OFFSIDE
3. KUNA HATARI YA GWAMBINA KULA RED CARD
4. KUNA HATARI YA GWAMBINA KUNYIMWA GOLI LA WAZI

NAISHIA HAPO

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamenyimwa penati ya wazi gwambina fc!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Jumatano ikiwa ni siku ya kazi, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha alikuwa katika studio za Wasafi Fm jijini Dar Es Salaam akihojiwa mambo ya michezo kuhusu Klabu ya Yanga.

Huo ni muda ambao alipaswa awe ofisini kule Arumeru akiwahudumia wananchi wake ili kuendana na kauli ya Hapa Kazi Tu. Je Dc Jerry Murro ni mtoro kazini? Au yupo likizo?
Yupo likizo kwani unateseka?
 
Nimemsikia akimkejeli Haji Manara kwamba anamzidi elimu ya madrasa tu!

Sasa nimuulize,anaidharau elimu hiyo?
Kwa sisi tunao ona mambo,Haji Manara ni mtoto wa mjini,yeye ukitoa hiyo nafasi ya uteuzi,anabaki kuwa mtu wa kawaida sana.

Siafiki yeye kudharau elimu ya madrasa ya Haji,azungumzie timu yake na historia kama kawaida yao.

Anasema timu inaonewa,na nani?Kuna mtu aliwalazimisha mumsajili Molinga na Ykipe?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kusema kuwa Haji anamzidi elimu ya Madrasa tu ndio ameidharau elimu ya Madrasa?
 
Mtani nawe ni mfuwasi wa JErry??? Matusi yote hayo Kwa timu?? Anaigawa timu hamuoni?? Anachangia shilingi ngapi kwenye mishahara ya wachezaji??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio Mfuasi wa Jerry sababu ni mwanachama tu wa Yanga kama walivyo wanachama wengine.

Matusi gani hayo Mtani? Kuigawa kivipi hiyo timu?
 
huyu utopolo lazima wamsupport maana naye akili hana. ndo maana anasema ametumwa... mwanaume hawezi tumwa hata siku moja. nimechunguza kumbe jenny muro hata mtoto hana........... nikasema ndo wale wale................
Huyo ndio kiboko ya mbumbumbu. Sisi wanayanga tunamsapoti kwa asilimia 100%.
 
Jerry, Bashite na Musiba sioni km wanatofauti......wote wanamidomo michafu sn na wanatengeneza migogoro ya kijamii....
 
Manara hataki kujibishana na Jerry kwa sasa kwakuwa anaheshimu kuidhalilisha Dola ambayo imempa mamlaka ya u DC Jerry.
La nawaambieni Jerry angetafuta pa kujificha kwa matusi ya Manara.
Kama Kwa kuwaacha wachambane Jerry hamwezi Manara. Atachambwa Hadi aikimbie Nchi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom