kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Hivi watu wa simba kweli naungana na Rage aliposema simba ni mbumbumbu wapi Muro alipoidharau elimu ya madrasa yeye amesema kazidiwa kwa elimu hiyo
Leo Jumatano ikiwa ni siku ya kazi, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha alikuwa katika studio za Wasafi Fm jijini Dar Es Salaam akihojiwa mambo ya michezo kuhusu Klabu ya Yanga.
Huo ni muda ambao alipaswa awe ofisini kule Arumeru akiwahudumia wananchi wake ili kuendana na kauli ya Hapa Kazi Tu. Je Dc Jerry Murro ni mtoro kazini? Au yupo likizo?
Mtani nawe ni mfuwasi wa JErry??? Matusi yote hayo Kwa timu?? Anaigawa timu hamuoni?? Anachangia shilingi ngapi kwenye mishahara ya wachezaji??Mbona kama unataka kulia sa. [emoji28][emoji28][emoji28]
Wamenyimwa penati ya wazi gwambina fc!NAKAZIA NA KUUNGA MKONO HOJA "TAKUKURU KUWENI MAKINI" KWA MUJIBU WA MURO NI KWAMBA GAME WAMESHAICHEZA NJE YA UWANJA BADO NDANI TU. MANAKE NI NINI???
1. LEO KUNA HATARI YA YANGA KUPATA PENATI YA UPENDELEO
2. KUNA HATARI YA KUFUNGA KWA OFFSIDE
3. KUNA HATARI YA GWAMBINA KULA RED CARD
4. KUNA HATARI YA GWAMBINA KUNYIMWA GOLI LA WAZI
NAISHIA HAPO
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo likizo kwani unateseka?Leo Jumatano ikiwa ni siku ya kazi, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha alikuwa katika studio za Wasafi Fm jijini Dar Es Salaam akihojiwa mambo ya michezo kuhusu Klabu ya Yanga.
Huo ni muda ambao alipaswa awe ofisini kule Arumeru akiwahudumia wananchi wake ili kuendana na kauli ya Hapa Kazi Tu. Je Dc Jerry Murro ni mtoro kazini? Au yupo likizo?
Nimemsikia akimkejeli Haji Manara kwamba anamzidi elimu ya madrasa tu!
Sasa nimuulize,anaidharau elimu hiyo?
Kwa sisi tunao ona mambo,Haji Manara ni mtoto wa mjini,yeye ukitoa hiyo nafasi ya uteuzi,anabaki kuwa mtu wa kawaida sana.
Siafiki yeye kudharau elimu ya madrasa ya Haji,azungumzie timu yake na historia kama kawaida yao.
Anasema timu inaonewa,na nani?Kuna mtu aliwalazimisha mumsajili Molinga na Ykipe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio Mfuasi wa Jerry sababu ni mwanachama tu wa Yanga kama walivyo wanachama wengine.Mtani nawe ni mfuwasi wa JErry??? Matusi yote hayo Kwa timu?? Anaigawa timu hamuoni?? Anachangia shilingi ngapi kwenye mishahara ya wachezaji??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani Refa naye ni binadamu ujue? 😎😎
Huyo ndio kiboko ya mbumbumbu. Sisi wanayanga tunamsapoti kwa asilimia 100%.
Ishu sio Kufundisha Madrasa, ishu ni kama mambo ya Jerry Muro yakiwekwa hadharani na Manara, Muro ataweza kuyahimili ?
Hapana sio Mfuasi wa Jerry sababu ni mwanachama tu wa Yanga kama walivyo wanachama wengine.
Matusi gani hayo Mtani? Kuigawa kivipi hiyo timu?