Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,538
Mwandishi maarufu?[emoji15] [emoji15]Mwandishi maarufu nchini Tanzania Jerry murro amesema Zitto kabwe hafai kuwa rais wa TFF kwasababu ni mbinafsi na mtu wa kimaslahi zaidi.Jerry ameyasema hayo ktk Kipindi za 360 kinachorushwa na clouds TV. Sanjari na hilo Jerry amesema jimbo la ubongo linaitaji kiongozi mwenye vision ili kutatua kero za wananchi.Habari zilizopo(tetesi) ni kwamba jerry analinyemelea jimbo la ubungo 2020