Jerry Muro: Vyombo vya habari vimemuona Bashite tu vyeti feki? Zitto Kabwe hafai Urais TFF

Jerry Muro: Vyombo vya habari vimemuona Bashite tu vyeti feki? Zitto Kabwe hafai Urais TFF

Mbona hii imekaa kisiasa mmeichanganya na sports hivi jerry kamkimbia Manji sasa hivi analala kwa bashite wa koromije [emoji83][emoji83][emoji379]
 
Adai kwanini vyombo vya habari Leo vinamuona Bashite tu kwenye ripoti ya vyeti feki na sio bilioni tano zilizookolewa kwa kuwafukuza watu 9930.

Adai pia vyombo vya habari Tanzania viko huru sana, tofauti na hivyo wasingeweza kumwandika bashite na wasifungiwe.

Kuhusu Zitto Kabwe, Jerry Muro amesema Zitto Kabwe hafai kuwa rais wa TFF kwasababu ni mbinafsi na mtu wa kimaslahi zaidi.

Sanjari na hilo Jerry amesema jimbo la Ubongo linaitaji kiongozi mwenye vision ili kutatua kero za wananchi.

Jerry Muro ameshachagua upande
 
Back
Top Bottom