Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Anatafuta pa kutokea huyo maana anaonakasahaulikaView attachment 2863968
Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .
Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !
Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni
😆😆😆😆Njaa mwanamalegeza
Wapi niliposema yuko vibaya ?Mbona Jamaa yupo vizuri Tu au unawivu nae mkuu
View attachment 2863968
Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .
Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !
Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni
[emoji1]Huyu mwamba alitumwaga na nani sijui kuja kufanya reseach alinisumbuaga sana mpaka saa saba usiku anapiga simu upokifuani mwa mtu ye ni kupiga tu kiufupi hana adabu
Njaa ni hatariKapotea sana...
Hahahaa hajulikan nan alimpeleka na anarudia neno 4RView attachment 2863968
Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .
Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !
Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni
Kila siku siyo JumapiliMtafurahi pale hizo sheria zitapita kama zilivyo na watasema walipokea na kuchuja maoni ya wadau. Upinzani nchi hamjifunzi na hamtokuja kujifunza kamwe.
Time will tell.Kila siku siyo Jumapili
Huwezi kutatua mambo kwa kujifichaTime will tell.