Muhumba wa Mukinyaa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 683
- 1,251
CCM hawajawahi kuwa WEMA,.hapo ni mwendo wa mikutano ya kupinga+ kwenda Mahakamani,..ila tusubiri,ingawa najua hakutokuwa na mabadiliko yenye TIJAHuwezi kutatua mambo kwa kujificha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hawajawahi kuwa WEMA,.hapo ni mwendo wa mikutano ya kupinga+ kwenda Mahakamani,..ila tusubiri,ingawa najua hakutokuwa na mabadiliko yenye TIJAHuwezi kutatua mambo kwa kujificha
Mchawi mpe mwanao akuleleeCCM hawajawahi kuwa WEMA,.hapo ni mwendo wa mikutano ya kupinga+ kwenda Mahakamani,..ila tusubiri,ingawa najua hakutokuwa na mabadiliko yenye TIJA
Lakini pia kwa kujitokeza na kushiriki unaweza kutumika kitakatisha na kihalalisha haramu.Huwezi kutatua mambo kwa kujificha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mwamba alitumwaga na nani sijui kuja kufanya reseach alinisumbuaga sana mpaka saa saba usiku anapiga simu upokifuani mwa mtu ye ni kupiga tu kiufupi hana adabu
Upinzani unatakiwa kuweka hadharani maoni yao kabla sheria haijapitishwa. Kwa namna hiyo itakuwa wazi yao mangapi yamepuuzwa. Upinzani usinge hudhuria vikao ungetoa mwanya wa kusema kuwa mngeleta mawazo yenu tungeyafanyia kazini lakini kwa sababu hamkushiriki tungefanyia kazi mawazo yapi?Mtafurahi pale hizo sheria zitapita kama zilivyo na watasema walipokea na kuchuja maoni ya wadau. Upinzani nchi hamjifunzi na hamtokuja kujifunza kamwe.
Utatakatisha vipi kama msimamo wako wa kupinga haramu uko wazi kwa kila mtu? Na uliuweka wazi kwenye hiyo mikutano?Lakini pia kwa kujitokeza na kushiriki unaweza kutumika kitakatisha na kihalalisha haramu.
Limbukeni,mshamba Sana mangiHuyu jamaa siweze kumpa hata muda wangu kama mwananchi wa maana.
Nilipanda naye ndege kutoka KIA mpaka Dar akakaa pembeni yangu alikuwa mkuu wa wilaya. Cha ajabu eti alikataa kufunga mkanda na madada wa ndege walikuwa wanamaogopa kumwambia hilo. Nikamwambia funga mkanda akashangaa sikumuita muheshimiwa! Mkanda ni usalama wa ndege nzima ! Kuanzia siku hiyo najua jamaa ni boya
Emmanuel Masonga amepewa Jukumu hilo la kuachia maoni ya Chadema hadharaniUpinzani unatakiwa kuweka hadharani maoni yao kabla sheria haijapitishwa. Kwa namna hiyo itakuwa wazi mangapi wamepuuzia. Upinzani usinge hudhuria vikao ungetoa mwanya wa kusema kuwa mngeleta mawazo yenu tungeyafanyia kazini lakini kwa sababu hamkushiriki tungefanyia kazi mawazo yapi?
Amandla...
na hamtafanya cha maana mpaka mshindwe uchaguziView attachment 2863968
Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .
Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !
Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni