Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza.
Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu zinatoa maamuzi yake kuhusu migogoro ya Ardhi kwa kuegemea zaidi mambo ya kiufundi (technicalities) kuliko mantiki.
Maamuzi mengi ambayo Silaa anayatolea maamuzi yaliamuliwa kwa kushangaza sana kwenye vyombo vya kutolea haki.
Ndugu zetu "wasomi" wanasheria tasnia yenu imejaa uozo Sana kwa kuendekeza rushwa.
Kuna kesi Moja eti mlalamikiwa ndiyo anaamua kuondoa shitaka Baraza la Ardhi la Wilaya bila ya kuomba kubeba jukumu ( Judgement on Admission) la maamuzi ya kuomba kuondolewa kwa kesi barazani.
Cc:
Bush Dokta
Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu zinatoa maamuzi yake kuhusu migogoro ya Ardhi kwa kuegemea zaidi mambo ya kiufundi (technicalities) kuliko mantiki.
Maamuzi mengi ambayo Silaa anayatolea maamuzi yaliamuliwa kwa kushangaza sana kwenye vyombo vya kutolea haki.
Ndugu zetu "wasomi" wanasheria tasnia yenu imejaa uozo Sana kwa kuendekeza rushwa.
Kuna kesi Moja eti mlalamikiwa ndiyo anaamua kuondoa shitaka Baraza la Ardhi la Wilaya bila ya kuomba kubeba jukumu ( Judgement on Admission) la maamuzi ya kuomba kuondolewa kwa kesi barazani.
Cc:
Bush Dokta