Jerry Silaa anatuonesha jinsi mfumo wa utoaji haki ulivyooza...

Jerry Silaa anatuonesha jinsi mfumo wa utoaji haki ulivyooza...

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza.

Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu zinatoa maamuzi yake kuhusu migogoro ya Ardhi kwa kuegemea zaidi mambo ya kiufundi (technicalities) kuliko mantiki.

Maamuzi mengi ambayo Silaa anayatolea maamuzi yaliamuliwa kwa kushangaza sana kwenye vyombo vya kutolea haki.

Ndugu zetu "wasomi" wanasheria tasnia yenu imejaa uozo Sana kwa kuendekeza rushwa.

Kuna kesi Moja eti mlalamikiwa ndiyo anaamua kuondoa shitaka Baraza la Ardhi la Wilaya bila ya kuomba kubeba jukumu ( Judgement on Admission) la maamuzi ya kuomba kuondolewa kwa kesi barazani.

Cc:
Bush Dokta
 
Naamini kama hujawahi kukutana na UJINGA, ufala na dharau za wananchi kuhusu masuala ya Ardhi basi utaona ulichokiongea ni sahihi. I rest my Case
 
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza.

Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu zinatoa maamuzi yake kuhusu migogoro ya Ardhi kwa kuegemea zaidi mambo ya kiufundi (technicalities) kuliko mantiki.

Maamuzi mengi ambayo Silaa anayatolea maamuzi yaliamuliwa kwa kushangaza sana kwenye vyombo vya kutolea haki.

Ndugu zetu "wasomi" wanasheria tasnia yenu imejaa uozo Sana kwa kuendekeza rushwa.

Kuna kesi Moja eti mlalamikiwa ndiyo anaamua kuondoa shitaka Baraza la Ardhi la Wilaya bila ya kuomba kubeba jukumu ( Judgement on Admission) la maamuzi ya kuomba kuondolewa kwa kesi barazani.

Cc:
Bush Dokta
Naunga mkono hoja.
P
 
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza.

Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu zinatoa maamuzi yake kuhusu migogoro ya Ardhi kwa kuegemea zaidi mambo ya kiufundi (technicalities) kuliko mantiki.

Maamuzi mengi ambayo Silaa anayatolea maamuzi yaliamuliwa kwa kushangaza sana kwenye vyombo vya kutolea haki.

Ndugu zetu "wasomi" wanasheria tasnia yenu imejaa uozo Sana kwa kuendekeza rushwa.

Kuna kesi Moja eti mlalamikiwa ndiyo anaamua kuondoa shitaka Baraza la Ardhi la Wilaya bila ya kuomba kubeba jukumu ( Judgement on Admission) la maamuzi ya kuomba kuondolewa kwa kesi barazani.

Cc:
Bush Dokta
Siyo tu mfumo wa utoaji haki. Ni serikali nzima imeoza. Nenda kwa wastaafu wanaodai mafao uone. Ni kila sehemu. Cha kushangaza hakuna anayeonekana kujali na yeye mwenyewe ni kama anafanya kazi ya kukausha bahari kwa kuchota maji kwa ndoo. Hebu mwambieni ajaribu kuwashauri CCM wakubali kubadilisha mfumo na kuwe na uchaguzi huru ili tupate viongozi wanaojibika.
 
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza.

Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu zinatoa maamuzi yake kuhusu migogoro ya Ardhi kwa kuegemea zaidi mambo ya kiufundi (technicalities) kuliko mantiki.

Maamuzi mengi ambayo Silaa anayatolea maamuzi yaliamuliwa kwa kushangaza sana kwenye vyombo vya kutolea haki.

Ndugu zetu "wasomi" wanasheria tasnia yenu imejaa uozo Sana kwa kuendekeza rushwa.

Kuna kesi Moja eti mlalamikiwa ndiyo anaamua kuondoa shitaka Baraza la Ardhi la Wilaya bila ya kuomba kubeba jukumu ( Judgement on Admission) la maamuzi ya kuomba kuondolewa kwa kesi barazani.

Cc:
Bush Dokta
Toa mfano mmoja ambapo Jerry Slaa ametengua maamuzi ya Mabaraza na mahakama za ardhi.
 
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza.

Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu zinatoa maamuzi yake kuhusu migogoro ya Ardhi kwa kuegemea zaidi mambo ya kiufundi (technicalities) kuliko mantiki.

Maamuzi mengi ambayo Silaa anayatolea maamuzi yaliamuliwa kwa kushangaza sana kwenye vyombo vya kutolea haki.

Ndugu zetu "wasomi" wanasheria tasnia yenu imejaa uozo Sana kwa kuendekeza rushwa.

Kuna kesi Moja eti mlalamikiwa ndiyo anaamua kuondoa shitaka Baraza la Ardhi la Wilaya bila ya kuomba kubeba jukumu ( Judgement on Admission) la maamuzi ya kuomba kuondolewa kwa kesi barazani.

Cc:
Bush Dokta
Tupe mifano ya maamuzi hayo na yeye akayatenguwa na kufanya kinyume chake.
 
Hapo juu ulimaanisha nini? Maana kiswahili cha Mgogo siyo sawa na cha Mluguru.
Yap.

Maamuzi anayoyatoa yeye hutofautiana na maamuzi ya awali.

Ili kutengua maamuzi ya kisheria ni lazima yafuate mkondo wa kisheria ambapo kwenye mkondo huo Waziri wa Ardhi hatambuliki.

Lakini Kwa kutumia mkondo wa Sheria ya Ardhi chini ya mtizamo kuwa Ardhi yote ya Tanganyika Iko chini ya Rais, na Waziri wa Ardhi ni mwakilishi wake, Waziri wa Ardhi anayo mamlaka ya kuamua masuala yote yahusuyo Ardhi aonavyo yeye.
 
Back
Top Bottom