Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".
Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?
Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.
Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.
Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao
Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza na kuwapa time wananchi basi tafuta mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwako!
Muda huwa ni mchache kulingana na wingi wa kero, mara nyingi viongozi wanataka hoja iliyowapeleka hapo ili wasikilize kero nyingi. Na si viobgozi wenye uthubutu huo.
Sasa kama mtu anatoka kwenye hoja ndiyo huwa shida. Nadhani badala ya kuwalaumu, tuwapongeze hawa viongozi wanaothubutu kuongea na wananchi kusikiliza kero.
Morogoro inatakiwa kuwa kanda maalum ya ardhi, na kuwe na special operation. Wenyeviti wa mitaa "wamechafua" sana mkoa huo, wanafanya mauziano hovyo hovyo.
Kitu nilichoona ni kwamba, pale serikali inapoingiza maeneo ya kiutawala Manispaa au Halmashauri kutoka katika vijiji. Huwa haina mpango rasmi wa kuyachukua maeneo yaliyokuwa chini ya vijiji na kuyadhibiti, wao wanatangaza mipaka mipya tu. Matokeo yake wenyeviti wa mitaa wanaanza kuuza ardhi, na wanauza wakiwa hawana register ya kujua hapa pameuzwa, hapa bado, na nani kauziwa. Zitungwe kanuni ku-regulate mambo hayo ya kuingiza maeneo katika planned areas.
Katika maeneo hatari sana kununua ardhi ni Morogoro, kuna utapeli wa hali ya juu sana.
Ndio maana Jerry Silaa huwa namshauri ashughulike na mifumo. Mfano ni hapo juu, ukivunja kijiji kije Manispaa, moja kati ya mambo ya awali ni kutambua ardhi inayomilikiwa na kijiji hicho, kuipa hati, kuikabidhi manispaa ili wenyeviti wa mitaa wasitapanye.
Pia, kuna ardhi ambazo Rais anazirudisha kwa wananchi, kutoka mashamba pori, sijasikia kama zinatolewa hati kwa wananchi na kama zina matumizi bora, nia njema ya Rais isije ikaharibiwa.
Ningemshauri Silaa akusanye mikataba yote ya eneo hilo, aangalie mwenyekiti wa mtaa aliyehusika, akamatwe, apelekwe mahakamani, afungwe.
Mwisho, ninachojua wakuu wa wilaya na mikoa ndio wana mamlaka ya kukamata watu na kuwaweka ndani kwa mujibu wa sheria, naomba kuelimishwa, waziri anatumia sheria gani kukamata mtu na kumuweka ndani?
Chuki za wazi wazi, angeweza kukataa tu msikiliza akasema aache ongea aongee mwingine.
Hiyo ya OCD mchukue huyu yanini,for what kwa kosa lipi?
Ubabe mwingine hauna haja, wewe ni Waziri kila mtu anajua wewe ni TOP hii kimbelembele ya kuongeza chumvi kwenye uongozi wako ni Maulaku ya madaraka na masifaaa.
Eti anamuuliza huyo "na wewe unataka kwenda" aende wapiiiii
Mwisho, ninachojua wakuu wa wilaya na mikoa ndio wana mamlaka ya kukamata watu na kuwaweka ndani kwa mujibu wa sheria, naomba kuelimishwa, waziri anatumia sheria gani kukamata mtu na kumuweka ndani?
Muda huwa ni mchache kulingana na wingi wa kero, mara nyingi viongozi wanataka hoja iliyowapeleka hapo ili wasikilize kero nyingi. Na si viobgozi wenye uthubutu huo.
Sasa kama mtu anatoka kwenye hoja ndiyo huwa shida. Nadhani badala ya kuwalaumu, tuwapongeze hawa viongozi wanaothubutu kuongea na wananchi kusikiliza kero.
Morogoro inatakiwa kuwa kanda maalum ya ardhi, na kuwe na special operation. Wenyeviti wa mitaa "wamechafua" sana mkoa huo, wanafanya mauziano hovyo hovyo.
Kitu nilichoona ni kwamba, pale serikali inapoingiza maeneo ya kiutawala Manispaa au Halmashauri kutoka katika vijiji. Huwa haina mpango rasmi wa kuyachukua maeneo yaliyokuwa chini ya vijiji na kuyadhibiti, wao wanatangaza mipaka mipya tu. Matokeo yake wenyeviti wa mitaa wanaanza kuuza ardhi, na wanauza wakiwa hawana register ya kujua hapa pameuzwa, hapa bado, na nani kauziwa. Zitungwe kanuni ku-regulate mambo hayo ya kuingiza maeneo katika planned areas.
Katika maeneo hatari sana kununua ardhi ni Morogoro, kuna utapeli wa hali ya juu sana.
Ndio maana Jerry Silaa huwa namshauri ashughulike na mifumo. Mfano ni hapo juu, ukivunja kijiji kije Manispaa, moja kati ya mambo ya awali ni kutambua ardhi inayomilikiwa na kijiji hicho, kuipa hati, kuikabidhi manispaa ili wenyeviti wa mitaa wasitapanye.
Pia, kuna ardhi ambazo Rais anazirudisha kwa wananchi, kutoka mashamba pori, sijasikia kama zinatolewa hati kwa wananchi na kama zina matumizi bora, nia njema ya Rais isije ikaharibiwa.
Ningemshauri Silaa akusanye mikataba yote ya eneo hilo, aangalie mwenyekiti wa mtaa aliyehusika, akamatwe, apelekwe mahakamani, afungwe.
Mwisho, ninachojua wakuu wa wilaya na mikoa ndio wana mamlaka ya kukamata watu na kuwaweka ndani kwa mujibu wa sheria, naomba kuelimishwa, waziri anatumia sheria gani kukamata mtu na kumuweka ndani?
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".
Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?
Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.
Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.
Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao
Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza ba kuwapa time wananchi basi tafita mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwao!
Nakubaliana na Waziri Slaa Watanzania tujifunze kuwa brief pale tunapozungumza na Wakubwa hawa kwani wapo wengi wanaotaka kusema yao na muda nao huwa hautoshi. Kwani huyo Mzee wako angesema tu kwa Kifupi kwa Kulenga yale ya Msingi angekumbana na hicho alichoambiwa na Waziri Slaa? Mwacheni Waziri afanye Kazi yake na tusitake Kuwapangia hata yale ambayo hawawezi Kuyafanya ama kwa wakati huo au Vinginevyo.