Jerry Silaa hapa umeonyesha Kiburi cha Mamlaka na hii haikusaidii na haiisaidii nchi jirekebishe

Jerry Silaa hapa umeonyesha Kiburi cha Mamlaka na hii haikusaidii na haiisaidii nchi jirekebishe

Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".

Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?

Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.

Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.

Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao

Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza ba kuwapa time wananchi basi tafita mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwao!

Naweka video ya tukio hapa:

View attachment 3039256
KARUDISHA KIWANJA CHA WIZI NN NAONA MAJAMBAZI WA ARDHI HAMNA HAMU NAE KAJA NA PROJECT ENDELEVU HATOKIHUYU HQTA MUMCHAFUEJE
 
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".

Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?

Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.

Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.

Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao

Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza ba kuwapa time wananchi basi tafita mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwao!

Naweka video ya tukio hapa:

View attachment 3039256
Dk Jerry sillaaa
 
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".

Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?

Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.

Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.

Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao

Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza ba kuwapa time wananchi basi tafita mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwao!

Naweka video ya tukio hapa:

View attachment 3039256
Viburi vya madaraka kwa viongozi wakifikiri wna akili sana.

CCT wengine waliochukua viwanja ni wanajeshi na watumishi na waliuziwa kwa kuhusisha mpaka MKURABITA wakalipia benki ya CRDB

Kumtishia mwananchi anayeeleza kile anachoamini ni sahihi eti awekwe ndani sijui kwa kosa lipi la jinai au kimaadili hapo?

Naibu waziri wa ardhi Ridhiwani Kikwete alishawahi kwenda hapo akajaribu kutaka afuatwe yeye anavyotaka lakini mnafahamu kilichofuata. Pale ni moto wanajeshi wana hasira sana mwaka 2014-2015 walivunjiwa nyumba zao tena chini ya usimamizi wa wilaya ya Mvomero ambaye naye baada ya hapo alifutwa kazi.

Sasa kuna huyu anayejiita mtoto wa rubani asiye na shida ya pesa kisa kalelewa na familia yenye uwezo unaenda kwa wananchi kuwafokea badala ya kuwasikiliza hata kama wanachoongea hakina mashiko baadae unawaelimisha na kuwaelekeza badala kutishia kuwaweka ndani polisi-kwanini viongozi hawajifunzi?
 
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".

Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?

Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.

Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.

Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao

Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza ba kuwapa time wananchi basi tafita mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwao!

Naweka video ya tukio hapa:

View attachment 3039256
Waziri ana mambo mengi, huwezi kumhutubia, mpe summary ya yaliyojiri , yeye atakupa ufafanuzi.

Mlikataa shule alagu unaanza kumlaumu kiongozi!
 
Viburi vya madaraka kwa viongozi wakifikiri wna akili sana.

CCT wengine waliochukua viwanja ni wanajeshi na watumishi na waliuziwa kwa kuhusisha mpaka MKURABITA wakalipia benki ya CRDB

Kumtishia mwananchi anayeeleza kile anachoamini ni sahihi eti awekwe ndani sijui kwa kosa lipi la jinai au kimaadili hapo?

Naibu waziri wa ardhi Ridhiwani Kikwete alishawahi kwenda hapo akajaribu kutaka afuatwe yeye anavyotaka lakini mnafahamu kilichofuata. Pale ni moto wanajeshi wana hasira sana mwaka 2014-2015 walivunjiwa nyumba zao tena chini ya usimamizi wa wilaya ya Mvomero ambaye naye baada ya hapo alifutwa kazi.

Sasa kuna huyu anayejiita mtoto wa rubani asiye na shida ya pesa kisa kalelewa na familia yenye uwezo unaenda kwa wananchi kuwafokea badala ya kuwasikiliza hata kama wanachoongea hakina mashiko baadae unawaelimisha na kuwaelekeza badala kutishia kuwaweka ndani polisi-kwanini viongozi hawajifunzi?
Hao wanajeshi ndio wanatakiwa kufuata sheria na wawe kioo cha jamii, yaani wavunje sheria kisa wanajeshi?
 
Hao wanajeshi ndio wanatakiwa kufuata sheria na wawe kioo cha jamii, yaani wavunje sheria kisa wanajeshi?
Tema mate kama waziri wako atatoboa kwa mgogoro wa pale CCT........I am just sneaking to witness the risky consequences he has decided to embark on......period!!
 
Tema mate kama waziri wako atatoboa kwa mgogoro wa pale CCT........I am just sneaking to witness the risky consequences he has decided to embark on......period!!
Anatoboa asubuhi tu, yaani ukanunue ardhi katika msitu wa serikali halafu ikuache? Yaani ni sawa uende mbuga ya serengeti pale katikati, au viwanja vya mnazi mmoja, ukanunue kiwanja, halafu waziri akikuambia ukweli, eti unasema hatoboi. Hata akitoka, akija mwingine msimamo wa serikali ni huo huo, kwa hiyo utaishi kwa mashaka maisha yako yote.

Waliokuwa wanavunjiwa na JPM walikuwa na hati kabisaa, acha wewe na vikaratasi vyako vya wenyeviti wa mitaa walioshia darasa la tatu.

Kama hao wanajeshi wanataka kuuleta ujeshi dhidi ya serikali, si waanze tu? Tunaondoa vi rank, piga court martial, fukuza kazi, peleka civil court, funga jela.
 
Jerry anafanya kazi nzuri na wengi tunafurahia. Ila sasa asianze kuvimba kichwa, huyo mwananchi ndiyo kafanya yeye kuchaguliwa huo uwaziri wake.

VIongozi kujifanya miungu watu, hii haikubaliki. Na mnaomtetea Jerry kwa alichomfanyia, huyo mzee je angekuwa ni mzazi wako? Wazee huwa na story sawa. Angeongea naye nje ya kipaza sauti, mzee samahani, naomba uongee point yako tu.

Hapo kile kiburi chake, kimeanza anamuweka ndani kwa kosa gani? Tena anamtishia na mwananchi mwingine, anayemtetea yule mzee. Anamwambia nawewe unataka kuungana naye?


Tukiwachekea hivi, itafika muda hata ukimtizama, atasema askari weka ndani huyu. Kwanini ananiangalia sana. Jerry mtoe huyo mzee na umuombe samahani. Nimejisikia vibaya sana.
 
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".

Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?

Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.

Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.

Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao

Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza ba kuwapa time wananchi basi tafita mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwao!

Naweka video ya tukio hapa:

View attachment 3039256
Kipumbavu hakijui hata adabu kwa wakubwa sasa mzee amekosa nini hapo? Hao polisi mnaowatumia kama kondomu na wao hawatumii akili. Mimi uniambie OCD chukua huyu nakujibu tu "Msikilize" hutaki mwache aondoke
 
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".

Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke, ana ndugu na jamaa wanaoheshimiana naye- Wewe unamjibu kwa nyodo na kumuitia Polisi wamchuke. Hii maana yake nini?

Kwanza nataka nikueleze kuwa wewe huna Mamlaka juu ya wananchi, bali wananchi indirectly wana mamlaka juu yako.

Kama ni mahojiano ya kuwekana kitimoto basi ilibidi wananchi wakuweke wewe kitimoto badala ya wewe kuwaweka wao kitimoto. Lakini kama kwa dhati kabisa ulitaka kuwasikiliza basi ni juu yao kukueleza kwa jinsi wanavyojua wao, siyo wewe kuwavimbia wakueleze shida zao kwa namna unavyotaka wewe.

Natambua, na ninajua kuwa nia yako ni njema, na ninaunga mkono hilo Lakini hii tabia ya kuproject mamlaka na kuvimba mbele ya wananchi inaonyesha bado hujajua kuwa wewe unaserve hapo kama waziri indirect kwa sababu ya hisani yao

Hebu muombe radhi huyo mzee na uwe mvumilivu pale wananchi wanapoongea mambo yao. Kama huwezi kuwasikiliza ba kuwapa time wananchi basi tafita mbinu nyingine ya kufanya majukumu ya uwaziri, badala ya kubagaza watu, kutweza watu na kuwaitia polisi pale unapokereka namna wanavyowasikisha kero zao kwao!

Naweka video ya tukio hapa:

View attachment 3039256
Kwanza kwanini Waziri ana zururazurura wakati yeye wajibu wake ni kusimamia sera na masuala ya management yapo chini ya makamishina wa ardhi Mikoani na Wilayani.
Atazunguka sehemu ngapi,anapaswa kutengeneza mifumo na siyo kila siku kusikiliza kesi!!
 
Anatoboa asubuhi tu, yaani ukanunue ardhi katika msitu wa serikali halafu ikuache? Yaani ni sawa uende mbuga ya serengeti pale katikati, au viwanja vya mnazi mmoja, ukanunue kiwanja, halafu waziri akikuambia ukweli, eti unasema hatoboi. Hata akitoka, akija mwingine msimamo wa serikali ni huo huo, kwa hiyo utaishi kwa mashaka maisha yako yote.

Waliokuwa wanavunjiwa na JPM walikuwa na hati kabisaa, acha wewe na vikaratasi vyako vya wenyeviti wa mitaa walioshia darasa la tatu.

Kama hao wanajeshi wanataka kuuleta ujeshi dhidi ya serikali, si waanze tu? Tunaondoa vi rank, piga court martial, fukuza kazi, peleka civil court, funga jela.
Hiyo Tanzania ya mwaka gani uwafanyie wajeda?(CCM na JWTZ ni mtu na sweet wake,hawawezi kugombana hapo anaondoka Waziri ndoa inaendelea).
 
Back
Top Bottom