Jerry Silaa: Kampuni ya Sino Hydro walipewa tenda nyingine ya BRT licha ya Kuboronga mradi wa awali

Jerry Silaa: Kampuni ya Sino Hydro walipewa tenda nyingine ya BRT licha ya Kuboronga mradi wa awali

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Akichangia bajeti ya wizara ya ujenzi na uchukuzi leo bungeni, Mbunge wa Ukonga amesema licha ya Rais Samia kuonya mkandarasi mmoja kupewa tenda nyingi kwa wakati mmoja, Wizara husika iliipa kandarasi Kampuni ya kichina ya Sino hydro, ujenzi wa awamu ya tatu ya mradi wa mwendokasi Mbagala -Magomeni licha ya kampuni hiyo kuwa na tenda 5 kwa wakati huo.

Akinukuu hotuba ya Rais Samia ya Desemba mwaka jana akizindua awamu ya pili ya mradi wa BRT chini ya Kampuni ya Sino Hydro amesema “kama viongozi wasingesimama na kusema hapa ni pabovu mkandarasi yule angeendelea kutujengea ubovu ule ule, kwa hiyo niombe sana viongozi wa halmashauri mlioko huko muwe macho, lakini wakati mwingine nasi Serikali labda tunatatizo, unaweza kukuta mkandarasi mmoja ana kazi nne au tano kwa wakati mmoja kwa hiyo mnaotoa tenda hizo muangalie nani yupo tayari kujenga kwa wakati huo”.

Ameendelea “mheshimiwa spika Sino hydro amepewa mradi wa BRT awamu ya tatu kuanzia Gongo la mboto mpaka Kariakoo, mkandarasi huyu ambaye kilomita 2.5 zimetinduka na kuleta ufa huko mbagala, asielipa wafanyakazi na wazabuni, ameenda kuongezewa kazi nyingine”.
 
Akichangia bajeti ya wizara ya ujenzi na uchukuzi leo bungeni, Mbunge wa Ukonga amesema licha ya Rais Samia kuonya mkandarasi mmoja kupewa tenda nyingi kwa wakati mmoja, Wizara husika iliipa kandarasi Kampuni ya kichina ya Sino hydro, ujenzi wa awamu ya tatu ya mradi wa mwendokasi Mbagala -Magomeni licha ya kampuni hiyo kuwa na tenda 5 kwa wakati huo.

Akinukuu hotuba ya Rais Samia ya Desemba mwaka jana akizindua awamu ya pili ya mradi wa BRT chini ya Kampuni ya Sino Hydro amesema “kama viongozi wasingesimama na kusema hapa ni pabovu mkandarasi yule angeendelea kutujengea ubovu ule ule, kwa hiyo niombe sana viongozi wa halmashauri mlioko huko muwe macho, lakini wakati mwingine nasi Serikali labda tunatatizo, unaweza kukuta mkandarasi mmoja ana kazi nne au tano kwa wakati mmoja kwa hiyo mnaotoa tenda hizo muangalie nani yupo tayari kujenga kwa wakati huo”.

Ameendelea “mheshimiwa spika Sino hydro amepewa mradi wa BRT awamu ya tatu kuanzia Gongo la mboto mpaka Kariakoo, mkandarasi huyu ambaye kilomita 2.5 zimetinduka na kuleta ufa huko mbagala, asielipa wafanyakazi na wazabuni, ameenda kuongezewa kazi nyingine”.
yule pasco huwezi kumuona kwenye hizi nyuzi, anazipita kama anaaga maiti.
 
Tatizo pesa.... mradi wa BRT Kimara ulilipiwa na World Bank ndio maana ikapatikana world class company ya Strabag, sasa tunataka kitu cha bei cha bei rahisi, ndio matokeo yake hayo.
 
Akichangia bajeti ya wizara ya ujenzi na uchukuzi leo bungeni, Mbunge wa Ukonga amesema licha ya Rais Samia kuonya mkandarasi mmoja kupewa tenda nyingi kwa wakati mmoja, Wizara husika iliipa kandarasi Kampuni ya kichina ya Sino hydro, ujenzi wa awamu ya tatu ya mradi wa mwendokasi Mbagala -Magomeni licha ya kampuni hiyo kuwa na tenda 5 kwa wakati huo.

Akinukuu hotuba ya Rais Samia ya Desemba mwaka jana akizindua awamu ya pili ya mradi wa BRT chini ya Kampuni ya Sino Hydro amesema “kama viongozi wasingesimama na kusema hapa ni pabovu mkandarasi yule angeendelea kutujengea ubovu ule ule, kwa hiyo niombe sana viongozi wa halmashauri mlioko huko muwe macho, lakini wakati mwingine nasi Serikali labda tunatatizo, unaweza kukuta mkandarasi mmoja ana kazi nne au tano kwa wakati mmoja kwa hiyo mnaotoa tenda hizo muangalie nani yupo tayari kujenga kwa wakati huo”.

Ameendelea “mheshimiwa spika Sino hydro amepewa mradi wa BRT awamu ya tatu kuanzia Gongo la mboto mpaka Kariakoo, mkandarasi huyu ambaye kilomita 2.5 zimetinduka na kuleta ufa huko mbagala, asielipa wafanyakazi na wazabuni, ameenda kuongezewa kazi nyingine”.
Narejea katika hoja yangu ya msingi ya utaratibu wa kutoa zabuni zisizokuwa na ushindani kupitia (single source). Katika hili, TANROADS ndiye procurement entity na ndiyo wanaanda nyaraka za zabuni na kuweka sifa aa muombaji. Kwamba hawajui SINOHYDRO wamekosa sifa? RUSHWA?
 
Ambacho sielewi:

Barabara za mwendokasi zinajengwa kwa zege. Ni kwanini Tanzania hatuwezi kusuka nondo juu ya ardhi na kumwaga zege ?

Especially kama tuna uwezo wa kumwambia Mchina hapa umekosea, pale patachanika unajenga vibaya ???

Departments za Civil Engeneering kazi yao kukaririshana ma theory na kutunga mitihani migumu ya kukamata wanafunzi, ndio sifa. Practice zero.
 
Back
Top Bottom