Sidhani, jielimishe zaidi.Ni kwa sababu ya watu kama wewe ndio maana nchi za Africa haziendelei..
Niishie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani, jielimishe zaidi.Ni kwa sababu ya watu kama wewe ndio maana nchi za Africa haziendelei..
Niishie hapo
Nadhani alikua strabag construction company wako vzr angalau cjui kwann wasibalance ugawaji tenda Ili tujue yuko vzrHuyu mkandarasi wa mwendokas ya kimara ndio alikua fresh anaenda time barabara mpk leo bado zmedumu i think serikal wangempa tu na hizo tender zngne ila tatzo ndio hlo tunapenda vitu vya bei rahis [emoji706]
Strabag nadhani aligombana na utawala uliopita maana hata miradi yake mingine alisimama ktk utawala uliopitaYuko sahii Sana kampuni hi Ni ya kimpumbafu Saba kipande kidgo mpk Cha keko magomeni ameshindwa
Arudishwe starbagi
Rushwa ndyo adui wa bara la AfricaNarejea katika hoja yangu ya msingi ya utaratibu wa kutoa zabuni zisizokuwa na ushindani kupitia (single source). Katika hili, TANROADS ndiye procurement entity na ndiyo wanaanda nyaraka za zabuni na kuweka sifa aa muombaji. Kwamba hawajui SINOHYDRO wamekosa sifa? RUSHWA?
Nahisi alikua kama consultant tuKabisa mkuu hapo nimekusoma Alafu kulikuwa na huyu China Civil Engineering Kwenye mwendokas ya kimara Hivi alikuwa anahusika na nini haswa!?