Jerry Silaa: Kampuni ya Sino Hydro walipewa tenda nyingine ya BRT licha ya Kuboronga mradi wa awali

Jerry Silaa: Kampuni ya Sino Hydro walipewa tenda nyingine ya BRT licha ya Kuboronga mradi wa awali

Tatizo ni baada ya kikwete walioingia hawakujali quality bali ni bora liendee a.k.a bei chee ..sasa unakuta tender proposal yeye ndo ameweka bei nzuri wazungu wote wameweka x 2 ili walipe mishahara mizuri, quality na on time tunamuacha tunakimbilia mchina wa bei chee kinachofuata ni kuvumilia matatizo yake maana tumeyasababisha wenyewe.
 
Huyu mkandarasi wa mwendokas ya kimara ndio alikua fresh anaenda time barabara mpk leo bado zmedumu i think serikal wangempa tu na hizo tender zngne ila tatzo ndio hlo tunapenda vitu vya bei rahis [emoji706]
Mjerumani huyo
 
Huyu mkandarasi wa mwendokas ya kimara ndio alikua fresh anaenda time barabara mpk leo bado zmedumu i think serikal wangempa tu na hizo tender zngne ila tatzo ndio hlo tunapenda vitu vya bei rahis [emoji706]
Mjerumani huyo anaitwa Strabag hatari Sana
 
Huyu mkandarasi wa mwendokas ya kimara ndio alikua fresh anaenda time barabara mpk leo bado zmedumu i think serikal wangempa tu na hizo tender zngne ila tatzo ndio hlo tunapenda vitu vya bei rahis 🚮
Financier: World bank
Contractor: Strabag
Upande wa pili sasa

Financier: AfDB
Contractor: Sino Hydro

Combination ya Mzungu na mzungu lazima itoe kitu kamili bila makandokando. Combination ya Mwafrika na Mchina unafikiri huwa inatoa nini?!
 
Financier: World bank
Contractor: Strabag
Upande wa pili sasa

Financier: AfDB
Contractor: Sino Hydro

Combination ya Mzungu na mzungu lazima itoe kitu kamili bila makandokando. Combination ya Mwafrika na Mchina unafikiri huwa inatoa nini?!
Mchina na MTU mweusi ni mashetani
 
Financier: World bank
Contractor: Strabag
Upande wa pili sasa

Financier: AfDB
Contractor: Sino Hydro

Combination ya Mzungu na mzungu lazima itoe kitu kamili bila makandokando. Combination ya Mwafrika na Mchina unafikiri huwa inatoa nini?!
[emoji16][emoji16][emoji16]nchi hii aisee.yaanj nikikumbuka strabag wameanza kuchimba barabara na hiki wanafanya hawa jamaa najikuta nacheka tu japo sijui hata greda linakodishwa shingapi kwa saa.
 
Huyu mkandarasi wa mwendokas ya kimara ndio alikua fresh anaenda time barabara mpk leo bado zmedumu i think serikal wangempa tu na hizo tender zngne ila tatzo ndio hlo tunapenda vitu vya bei rahis 🚮
Aliyejenga BRT ya kimara ni Straberg wajerumani hao, mradi huo wa BRT ya kimara ulikuwa unafadhiliwa na worldbank, huu wa sasa naona unafadhiliwa na serikali ndio maana wanapewa tenda wachina, straberg ni mjerumani hawawezi kumlipa.
 
Tunabishana kati ya Mjerumani na Mchina nani atujengee njia ya zege!

Sio baharini, nchi kavu! Udongo sio mgeni, labda wa fukwe za Rhine River, ni wa Mbagala Kizuiani!

Mchina anatuma ma spy scientists wakaibe ma ufundi kwenye maabara za US pharmaceuticals, BOEING, NASA, ma FBI, ma vyuo vya kitafiti. Sisi wanakuja Wachina wanamwaga zege barabarani tunashindwa hata kudesa wamechimba futi ngapi, wametandika vyuma vya mm ngapi, vimesukwaje, kokoto na cement ratio gani, ametumia pipe level au kifaa gani cha kupima utambarare, kinauzwa bei gani kwenye hardware shop za dunia, ardhi ya bonde wanafanyaje?

Hatuwezi...

Waalimu wa Civil Engineering kazi kuanjia ngono za wanafunzi, intelligence service kazi kusaka "wajuaji wa upinzani" wawaue! Hatuwezi kusonga mbele, tunajikwamisha wenyewe.
 
Tunabishana kati ya Mjerumani na Mchina nani atujengee njia ya zege!

Mchina anatuma ma spy scientists wakaibe ma ufundi kwenye maabara ya makampuni ya pharmaceuticals, BOEING, NASA, ma FBI, na ma vyuo ya USA. Sisi wanakuja Wachina wanamwaga zege barabarani tunashindwa hata kudesa wamechimba futi ngapi, wamepanga vyuma vya nchi ngapi vingapi, kokoto na cement ratio gani, ametumia pipe level au kifaa gani cha kupima level, kwenye bonde anafanyaje....

Hatuwezi...

Waalimu wa Civil Engineering kazi kuanjia ngono za wanafunzi, intelligence service kazi kusaka "wajuaji wa upinzani" wawaue!
Huo ndo usalama wa taifa wa nchi hii.. kazi yao ni kupambana na Chadema tu. Siku Chadema wakiingia madarakani watajiona ni wajinga sana, kupoteza muda mrefu kupambana na mambo ya kijinga yasiyoweza kuzuilika. Hata hawajifunzi kwa nchi kama Malawi, Zambia na Kenya, ilipofika muda wa upinzani kuingia madarakani havizuiliki! Wacha waendelee kushupaza shingo tu!
 
Huyu mkandarasi wa mwendokas ya kimara ndio alikua fresh anaenda time barabara mpk leo bado zmedumu i think serikal wangempa tu na hizo tender zngne ila tatzo ndio hlo tunapenda vitu vya bei rahis 🚮
Hatoi rushwa ndio sababu hajapewa kazi nyingne ya mwendokasi.
 
Financier: World bank
Contractor: Strabag
Upande wa pili sasa

Financier: AfDB
Contractor: Sino Hydro

Combination ya Mzungu na mzungu lazima itoe kitu kamili bila makandokando. Combination ya Mwafrika na Mchina unafikiri huwa inatoa nini?!
Kabisa mkuu hapo nimekusoma Alafu kulikuwa na huyu China Civil Engineering Kwenye mwendokas ya kimara Hivi alikuwa anahusika na nini haswa!?
 
[emoji16][emoji16][emoji16]nchi hii aisee.yaanj nikikumbuka strabag wameanza kuchimba barabara na hiki wanafanya hawa jamaa najikuta nacheka tu japo sijui hata greda linakodishwa shingapi kwa saa.
Hao jamaa walikua seriously sana Pamoja na mradi kuwa mrefu lakini walienda na Mda leo, hawa wengine nasikia mda wa mkataba unaisha na hawajafika ata 90% ya ujenzi
 
Aliyejenga BRT ya kimara ni Straberg wajerumani hao, mradi huo wa BRT ya kimara ulikuwa unafadhiliwa na worldbank, huu wa sasa naona unafadhiliwa na serikali ndio maana wanapewa tenda wachina, straberg ni mjerumani hawawezi kumlipa.
Aiseh ngumu kumlipa mzigo unadumu sana
 
Financier: World bank
Contractor: Strabag
Upande wa pili sasa

Financier: AfDB
Contractor: Sino Hydro

Combination ya Mzungu na mzungu lazima itoe kitu kamili bila makandokando. Combination ya Mwafrika na Mchina unafikiri huwa inatoa nini?!
Pamoja na yote serikali ilitakiwa isimpe maana keshaonesha hawezi kwenye mradi wa maji....
Serikali ingeweka kipengele cha kuvunja mikataba bila wao kuathirika.

Strabag alijitahidi sana
 
Back
Top Bottom