Tunabishana kati ya Mjerumani na Mchina nani atujengee njia ya zege!
Sio baharini, nchi kavu! Udongo sio kama hatuujui, ni wa Mbagala!
Mchina anatuma ma spy scientists wakaibe ma ufundi kwenye maabara ya makampuni ya pharmaceuticals, BOEING, NASA, ma FBI, na ma vyuo ya USA. Sisi wanakuja Wachina wanamwaga zege barabarani tunashindwa hata kudesa wamechimba futi ngapi, wametandika vyuma vya mm ngapi, vimesukwaje, vingapi, kokoto na cement ratio gani, ametumia pipe level au kifaa gani cha kupima utambarare, kinauzwa bei gani kwenye hardware shop za dunia, ardhi ya bonde wanafanyaje....
Hatuwezi...
Waalimu wa Civil Engineering kazi kuanjia ngono za wanafunzi, intelligence service kazi kusaka "wajuaji wa upinzani" wawaue! Hatuwezi kusonga mbele, tunajikwamisha wenyewe.