Jerry Silaa kwa CV hii umestahili kubeba vitabu hivyo

Jerry Silaa kwa CV hii umestahili kubeba vitabu hivyo

Tatizo la Jerry Slaa ni uwajilishi hafifu wa jimbo analowakilisha la Ukonga.

Barabara kuu za majimbo mengine yote ya Dar es Salaam zimekamilika kwa lami, na sasa wapo kwenye barabara za mitaa, isipokuwa Ukonga. Jimbo la Ukonga, barabara kuu na za mitaa bado ni mbovu sana na hazifanyiwi ukarabati.

Jimbo la Ukonga ni mojawapo ya majimbo ya Dar es Salaam yenye usambazaji kidogo sana wa maji safi, pamoja na ahadi kibao za serikali.

Jerry Slaa hafuatilii huko jimboni kwake, anadandia mambo ya kitaifa yenye utata kujipatia umaarufu wa kwenye mitandao.

Jerry, be humble, watumikie waliokupigia kura.
 
Kama kuwa na mavyeti mengi ni sifa mie ningesoma kila mwaka mpaka nafika 40 yrs nina magamba kibao! Ila yote hayo kama huna mishe we ni zaidi ya kilaza mjini😅
ni kweli elimu cheti bila mishe ni sawa na mwanamke mzuri aliyekosa weledi kichwani.
 
Mimi kila mwaka nina graduate na vyeti vya mandatory training.
Inaonekana kibongobongo kusoma sio ishu tena mana wajuba wengi humu wanaona elimu ya makatasi bila mishe sio msaada kwa maisha yetu ya kila siku.
 
Kama kuwa na mavyeti mengi ni sifa mie ningesoma kila mwaka mpaka nafika 40 yrs nina magamba kibao! Ila yote hayo kama huna mishe we ni zaidi ya kilaza mjini😅
Angalia vyeti vya einstein

1629854077623.png
 
Ila jamaa ana nongwa, kaja na sanduku la vitabu kabisa, angekuwa Lissu angeenda na kichwa chake tu lakini unakosa pa kumbana mpaka unataka kurusha ngumi...kuna mawakili wa serikali waliwahi kulalamika mwamba anatumia uchawi🤣View attachment 1906744
Kwa wale ambao wako shuleni; ukiona mwalimu anaingia darasani na mafaili makubwa na vitabu vingi, basi ujue mwalimu huyo ni Bomu !

Ingawa nikiri kuwa zamani sana miaka ya themanini mwalimu mwenzagu pale FoE (Bagile) alikuwa na tabia ya kwenda darasani na vitabu vingi, ila akifika huko anafundisha lecture yote kutoka kichwani tu bila hata kugusa karatasi yoyote au kitabu chochote kati ya alivyokuja navyo. Vitabu hivyo ilikuwa ni mkwara tu.
 
Tz tuna watu wana CV zinavutia ila kwanini hatusongi mbele?
CV inaweza kuchongwa au degree zinaweza kununliwa.
Nilishakua muajiri , aisee CV Ni Kama ilani ya CCM.
Njoo kwenye interview Ni ushuzi mtupu, kiingereza Kama Cha da Joy, ngonjera Kama da doro, ulevi Kama ka muitali yaani Ni Kama ndugu Yai viza.
 
Tatizo la Jerry Slaa ni uwajilishi hafifu wa jimbo analowakilisha la Ukonga.

Barabara kuu za majimbo mengine yote ya Dar es Salaam zimekamilika kwa lami, na sasa wapo kwenye barabara za mitaa, isipokuwa Ukonga. Jimbo la Ukonga, barabara kuu na za mitaa bado ni mbovu sana na hazifanyiwi ukarabati.

Jimbo la Ukonga ni mojawapo ya majimbo ya Dar es Salaam yenye usambazaji kidogo sana wa maji safi, pamoja na ahadi kibao za serikali.

Jerry Slaa hafuatilii huko jimboni kwake, anadandia mambo ya kitaifa yenye utata kujipatia umaarufu wa kwenye mitandao.

Jerry, be humble, watumikie waliokupigia kura.
Spika mwenyewe kwake Ni ukonga.Pambanieni kombe Wana nzengo wenzangu.
 
Kimapambo zipo vizuri.
Ila uwe meya wa jiji, ufanye kazi na kusoma Masters mbili kwa mkupuo, utumie miaka mitano, is very impressive to say the most.
Mwendazake alijipatia zake PHd ndani ya miaka 3, huku akiwa Waziri,sijui aliwezaje.

Ila anyway yule mwl ya UD mwenye jina la kihaya aliyepewa uenyekiti wa Ile bodi xxx na mwendazake anajua mengi.
 
Kwa wale ambao wako shuleni; ukiona mwalimu anaingia darasani na mafaili makubwa na vitabu vingi, basi ujue mwalimu huyo ni Bomu !

Ingawa nikiri kuwa zamani sana miaka ya themanini mwalimu mwenzagu pale FoE (Bagile) alikuwa na tabia ya kwenda darasani na vitabu vingi, ila akifika huko anafundisha lecture yote kutoka kichwani tu bila hata kugusa karatasi yoyote au kitabu chochote kati ya alivyokuja navyo. Vitabu hivyo ilikuwa ni mkwara tu.
Daah kutumia reference ni Mwalimu bomu aisee ndio maana Tanzania tutaendelea kuwa chini kwenye Elimu na maamuzi bora..
 
Inaonekana kibongobongo kusoma sio ishu tena mana wajuba wengi humu wanaona elimu ya makatasi bila mishe sio msaada kwa maisha yetu ya kila siku.
Wasomi wanashindwa kutafuta masoko ya mazao yetu na kuzalisha ajira kwa vijana.
 
ni kweli elimu cheti bila mishe ni sawa na mwanamke mzuri aliyekosa weledi kichwani.
wana sema zitakazo umia ni sehemu za siri!
kabeba ma vitabu kama punda aliye beba mzigo! elimu yake ina mtesa haija msaidia kupunguza mzigo wa vitabu unaweza kuta kuna daftari la shule ya msingi apo kwenye beg!
vichaa vipo vya aina nyingi...
 
Back
Top Bottom