Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kwa hiyo sisi tunaokomaa kutengeneza cv ni mafala au siyo??!!.Kama kuwa na mavyeti mengi ni sifa mie ningesoma kila mwaka mpaka nafika 40 yrs nina magamba kibao! Ila yote hayo kama huna mishe we ni zaidi ya kilaza mjini[emoji28]