Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua maneno yanguJerry hakua mtu wa kukaa kwa office achaa uwongo, Jerry alikua anaonekana full time yuko site kutatua migogoro ya Aridhi, ndiyo maana hadi Mama kapenda ubunifu wake wa zile clinics zake za Aridhi, na kweli matapeli wa Aridhi kila wakisikia Jerry leo ana clinic eneo lao,basi matumbo ya kuhara yanawashika ghafla, na mwamba akija kweli anapita nao matapeli wote! MUNGU amtangulie kwa kila jambo Muheshimiwa Jerry, kawasaidia wanyonge wengi sana waliodhulumiwa na matapeli wa Aridhi!!
On that front hakuna tofauti baina ya then and now ni mwendelezo wa huu upuuzi ambao naweza sema JPM alikuwa muasisi..., Tatizo mazuri yake wameyaacha wamechukua mabaya na kuongeza mabaya yao... matokeo ni better then than nowMtanikumbuka 😂🔥
Unamkumbuka yule tapeli aliyesikia njaa ghala kule Tanga!? Chukua maneno yangu,utanishukuru baadae!!Chukua maneno yangu