kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,470
- 1,352
😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi nimekutukana boss, mbona umenichanganya humo?Matusi ya kazi gani? Mimi naona mara nyingi akiitwa na kuandikwa Jerry Slaa
View attachment 2851381
Huyu ni jerry silaa sio slaaKuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
View attachment 2851387View attachment 2851388
Daa mkuu umenionaje mpaka kunifananisha na Chadema? 🤣Acha ujinga wew mbona nyie CDM mtu akiwa maarufu mnakataa kabila lake?? Jerry Slaa ni muiraq, Biteko msukuma,JPM msukuma, Makonda msukuma
sio jery slaa,ni jery silaaKuna huyu waziri namsikia sana sasa hivi, Jerry Slaa, je huyu ni mtoto wa Dkt Slaa? Yule aliyekuwa Chadema?
Maana wanasema mtoto wa simba ni simba.... naomba kuwasiliana
View attachment 2851387View attachment 2851388
sio slaa ni silaaBaba yake ni Captain Wiliam Slaa, alifariki kwenye ajali iliyochukua uhai wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa Mh. Deogratius Filikunjombe
View attachment 2851362
Huyu ni jerry silaa sio slaa
Kipindi cha mjomba Magu type hizo ndio zilikuwa zinalala mbele kwa kubadili majina!
KivipKipindi cha mjomba Magu type hizo ndio zilikuwa zinalala mbele kwa kubadili majina!
Amebadili jina!Kivip
Vyeti feki?Amebadili jina!
Hayafanani...Kufanana tu kwa majina
Ana mapua yamesambaa uso mzimaBaba yake ni Captain Wiliam Slaa, alifariki kwenye ajali iliyochukua uhai wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa Mh. Deogratius Filikunjombe
View attachment 2851362
Iandikwe Slaa itamkwe Tlaa?Dr Slaa inatamkwa Tlaa na huyo Jerry Silaa inatamkwa Silaa bado huoni ni watu wawili tofauti.
Vivyo hivyo kwa riziki na ridhiki.Hivi wenzetu shule mlienda kufanya nini? Kama unashindwa kuandika Silaa ukaona tofauti na Slaa basi wewe si ridhiki.
We jamaa bhana [emoji3]Ana mapua yamesambaa uso mzima