Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Nimeshangaa na mimi.Milioni tatu Itakuwa ni kwa siku. Sio mwaka
Dar haiwezi tumia lita 3m kwa mwaka.
Labda lita 300m.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa na mimi.Milioni tatu Itakuwa ni kwa siku. Sio mwaka
Mnafikiria Tozo! Tozo! Tozo! Hivi kwa nini nia yenu ni kumuumiza mtanzania tu!! Kwa nini msifikirie na kuhoji fedha toka migodi ya madini inaingia ngapi serikalini na inatumikaje? Nini mchango wa migodi ya madini kwenye uchumi wetu na inampa unafuu gani mtanzania masikini huyu ambaye anabebeshwa Tozo kila kona? Ni wazo tu lakini!Hilo la kupiga ni hoja pia ila umewahi sikia Tarura pesa imepigwa? Hizo pesa zinaenda Tarura sio Jiji la Dar vinginevyo endeleeni kuongelea kwenye mashimo maana Kwa Sasa Serikali Haina pesa kwenye regular budget na ule mradi wenu wa DMDP umeyeyuka
Zirejeshwe zile za China na za Credit suisse,zitatosha kujenga mabarabara na sio barabara 😂Sina uhakika kama hawa ni watanzania.
Jerry Slaa hata bila aibu anasimama na kuomba bei ya mafuta iongezwe?
Maumivu ya tozo hayajapona kwa watanzania, tunatakiwa tena tupigwe tena kwenye mafuta.
Mishahara na marupurupu kwa wabunge vingepunguzwa naamini tungekuwa na wabunge wenye akili timamu.View attachment 2591931
Akichangia mjadala wa Bajeti ya TAMISEMI, mbunge wa Ukonga Jerry Silaa kwa niaba ya Wabunge wa Dar es Salaam amependekeza kwa Serikali iweke Tozo ya Shilingi 100 kwa mafuta yanayonunuliwa Jijini humo ili kupata Fedha za kujenga Barabara za Jiji la Dar es Salaam.
Jerry Silaa amesema amesema Jiji la Dar es Salaam linatumia zaidi ya Lita milioni 3 kwa siku ambazo zinaweza kuwezesha Jiji la Dar kupata Bil. 130 Kwa mwaka ambazo zitatumika kujenga Miundombinu ya Barabara ndani ya Jiji Hilo.
Aidha Slaa amesema Tsh 100 itakayoongezwa italeta msawazo wa bei na maeneo mengine ya Nchi ambayo yananunua mafuta Kwa bei kubwa sana, akisema formula yake ataiwasilisha Kwa Waziri wa Tamisemi na Wizara ya Fedha.
My Take: Jerry Silaa ana Hoja ya msingi na asikilizwe, nimeipenda ubunifu wake sio Kila kitu kusubiria mikopo.
Hawa ndio wabunge Magufuli alio tuletea akidai upinzani ulituchelewesha.Akichangia mjadala wa Bajeti ya TAMISEMI, mbunge wa Ukonga Jerry Silaa kwa niaba ya Wabunge wa Dar es Salaam amependekeza kwa Serikali iweke Tozo ya Shilingi 100 kwa mafuta yanayonunuliwa Jijini humo ili kupata Fedha za kujenga Barabara za Jiji la Dar es Salaam.
Jerry Silaa amesema amesema Jiji la Dar es Salaam linatumia zaidi ya Lita milioni 3 kwa siku ambazo zinaweza kuwezesha Jiji la Dar kupata Bil. 130 Kwa mwaka ambazo zitatumika kujenga Miundombinu ya Barabara ndani ya Jiji Hilo.
Aidha Slaa amesema Tsh 100 itakayoongezwa italeta msawazo wa bei na maeneo mengine ya Nchi ambayo yananunua mafuta Kwa bei kubwa sana, akisema formula yake ataiwasilisha Kwa Waziri wa Tamisemi na Wizara ya Fedha.
My Take: Jerry Silaa ana Hoja ya msingi na asikilizwe, nimeipenda ubunifu wake sio Kila kitu kusubiria mikopo.
Akichangia mjadala wa Bajeti ya TAMISEMI, mbunge wa Ukonga Jerry Silaa kwa niaba ya Wabunge wa Dar es Salaam amependekeza kwa Serikali iweke Tozo ya Shilingi 100 kwa mafuta yanayonunuliwa Jijini humo ili kupata Fedha za kujenga Barabara za Jiji la Dar es Salaam.
Jerry Silaa amesema amesema Jiji la Dar es Salaam linatumia zaidi ya Lita milioni 3 kwa siku ambazo zinaweza kuwezesha Jiji la Dar kupata Bil. 130 Kwa mwaka ambazo zitatumika kujenga Miundombinu ya Barabara ndani ya Jiji Hilo.
Aidha Slaa amesema Tsh 100 itakayoongezwa italeta msawazo wa bei na maeneo mengine ya Nchi ambayo yananunua mafuta Kwa bei kubwa sana, akisema formula yake ataiwasilisha Kwa Waziri wa Tamisemi na Wizara ya Fedha.
My Take: Jerry Silaa ana Hoja ya msingi na asikilizwe, nimeipenda ubunifu wake sio Kila kitu kusubiria mikopo.
Lini uliwahi sikia pesa imeibiwa Tarura? Nyie ni kuwaacha hivyo hivyo kwenye mashimo yenu.
Jiji gani mvua ikinyesha Jiji liko paralysed?
Pesa zilizopigwa sio za Barabara ni za Miradi mingine,wapi umesikia Tarura wamepiga pesa ya tozo ya mafuta?Pesa zimepigwa, ila mwananchi ndio abebe mzigo wa kuongezewa Bei kwenye mafuta?. Nani anamuonea huruma mwanachi wa kawaida.
Hawalipi Kodi namna gani?Hawa ndio wabunge Magufuli alio tuletea akidai upinzani ulituchelewesha.
Majinga haya hayalipi kodi hayana maumivu yako na pesa za wananchi zinaliwa kila kona yenyewe yamerundika kama Mazuzu pale yanalipwa mishahara kwa kodi zetu na bado yanapenxekeza wananchi tuumizwe zaidi.
Kwa nini wasipunguze mishahara ya wabunge ili pesa hizo zitumike kujenga hizo barabara?
Mbona humuonei huruma mwananchi wa Mkoani ila wa Dar tuu ndio aonewe huruma?Tumuonee huruma mwanachi.
Hoja mzuri,ispokuwa hakuna udhibiti wa matumizi ndani ya serikali,hivyo wazo lake linakufa kibudu.Yaani wapige maela zaidi ya hizo kila mwaka halafu eti waseme tozo iwekwe kwenye mafuta kupata hela ya kujenga miundombinu, hivi hawa wabunge wamelaaniwa au...
Ulisikia lini Tarura wamekula pesa ya tozo?Tatizo sio tozo, tatizo huwa wanazila.
Mbona unalazimisha upuuzi wako? Nimekuuliza umesikia wapi CAG akisema pesa ya tozo ya mafuta inayoenda Tarura kujenga Barabara imepigwa?Pesa zimepigwa, ila mwananchi ndio abebe mzigo wa kuongezewa Bei kwenye mafuta?. Nani anamuonea huruma mwanachi wa kawaida.
Mbona unatumia nguvu hivyo kutetea Serikali ?Ulisikia lini Tarura wamekula pesa ya tozo?
Zinaingia kwenye mfuko wa Tarura directly haziendi huko Halmashauri wanakozila.