Jerry Slaa aanza kulewa madaraka , adai watakaoshindwa kutatua migogoro ya ardhi atawatatua wao

Jerry Slaa aanza kulewa madaraka , adai watakaoshindwa kutatua migogoro ya ardhi atawatatua wao

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ndio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .

Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?

Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !

Screenshot_2023-09-05-13-00-11-1.png


Screenshot_2023-09-05-13-00-34-1.png
 
Mzee lukuvi alienda wapi 🤔🤔 naona ni kama alikua ameiweza hii wizara japo alikua na mapungufu yake
 
Back
Top Bottom