Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si lazima kurudisha Lukuvi , lakini wako viongozi wengi tu bora sana kuliko Jerry SilaaMrudisheni Lukuvi,
Kumweka ndani asome magazeti Si vizuri.
Kwani saizi migogoro haitatuliki?Alitatua migogoro mingi tena iliyo dumu kwa miaka mingi bila kupatikana suluhisho
Hakuna baya alilosema, Maafisa ardhi wengi ni wala rushwa, wanapora ardhi kwa ubabe wakishirikiana na madc na maded ningeshauri ikiwezekana aweke namba zake za simu tumwandikiwe moja kwa moja yeye awashughulikie hao wahuniNdio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
Yule alikuwa ni wa aina yakeMzee lukuvi alienda wapi 🤔🤔 naona ni kama alikua ameiweza hii wizara japo alikua na mapungufu yake
Lukuvi anafit moja Kwa moja,Si lazima kurudisha Lukuvi , lakini wako viongozi wengi tu bora sana kuliko Jerry Silaa
Kwanini mjuhangaishe kutabiri wakati mnamjua aliyemuweka ni wa aina gani. Au mnajisikia raha tabiri zenu zinaposhindwa?Namtabiri muda mfupi sana hapo wizarani
na sijui hili kaliokota wapi? Huyu mama naye siye kabisaSi lazima kurudisha Lukuvi , lakini wako viongozi wengi tu bora sana kuliko Jerry Silaa
Ataondoka wizarani atuache kama alivyotukutaNdio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
Huyu sidhani kama kwenye hii wizara atamaliza mwaka...!!!!Ndio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
Alaf muda si mrefu anatatuliwa yeye. Nchi ngumu sana hii...Ndio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
Ukonga yenyewe ujenzi holela na watu kibao hawana hati, ni migogoro tupu.Ndio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
Hatujawahi kushindwa kwenye tabiri , fuatilia uone nani aliwahi kuponaKwanini mjuhangaishe kutabiri wakati mnamjua aliyemuweka ni wa aina gani. Au mnajisikia raha tabiri zenu zinaposhindwa?