Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Namtabiri muda mfupi sana hapo wizaraniKuna mdau kamrushia kombola sasa kaona ngoja ajibu mashambulizi 😂🤣
Kaambiwa hapo Jimboni kwake Ukonga tu kuna migogoro kibao tangu aingie hakuna mgogoro alioutatua je ataweza kuitatua migogoro yote Nchi nzima ndani ya siku100? 😂🤣Namtabiri muda mfupi sana hapo wizarani
takatakaNdio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
Lukuvi alifanya nini?Watawala wasione aibu kumrudisha lukuvi hii wizara
Wakirudishwa mnaleta maneno tena, oooh hakuna jipya kila siku sura zile zile.Watawala wasione aibu kumrudisha lukuvi hii wizara
Mrudisheni Lukuvi,Ndio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
Kamatia hapo hapo ila asisahau walishindwa wanatakiwa kumuita yeye akatatueNdio kama tulivyosema hapo awali kwamba , usimpe mtu cheo kutokana na uchawa wake , ni vema ukiangalia rekodi yake .
Aliyeshindwa Umeya unampaje Wizara ?
Hata wiki haijaisha , kishaanza kashfa na matusi !
View attachment 2739682
View attachment 2739683
How?Mzee lukuvi alienda wapi 🤔🤔 naona ni kama alikua ameiweza hii wizara japo alikua na mapungufu yake
Kwa lipi spesho unalolijua wewe?Watawala wasione aibu kumrudisha lukuvi hii wizara
Alitatua migogoro mingi tena iliyo dumu kwa miaka mingi bila kupatikana suluhishoHow?
aliuza kama njuguOpen spaces ziliuzwa akiwa Mayor, ardhi haitaki mkurupukaji,
Tuletee Lukuvi tafadhali.