Jerry Slaa akagua daraja la Bilioni 17 jimboni kwake

Jerry Slaa akagua daraja la Bilioni 17 jimboni kwake

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

--

Mamlaka zatolea ufafanuzi gharama za ujenzi huo, kujua zaidi soma TARURA yaelezea kuhusu Daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6

IMG_8494.jpeg
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.View attachment 2786231
Dunia simama nishuke[emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.View attachment 2786231
Nimeangalia kule kwenye account yake,hii habari imeondolewa 😂😂😂😂

Nikiwaoneaha Daraja la Bil.1.2 mtasikotika kwanza ni kubwa na refunkuliko hili
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Ni milioni 17, hapo hakuna bilioni, tumepigwa tena.
 
Milioni 17 unayosema nakataa ni ndogo, ila pia kamwe haiwezi fika bil 17!.
Ilitakiwa tuwe na sheria KALI za kushughulika na wahuni kama hawa wanaotupiga mchana kweupee kana kwamba Watz wote ni mafala!!.
Nimesema tu kwani kwa macho ni kama mita 30 kwa 12 hivi, sisi tunabishana wenyewe wanatabasamu.
 
Back
Top Bottom