Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Kuna muda Mama wa Taifa atakuwa anakaa na kumkumbuka sana Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteMbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Duh! 17B?Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Material ya ujenzi yamepanda sana kutokana na kupaa kwa dola! Wwe fikiria ukiwa na ka dola mia tu unapewa karibu laki tatu za kitanzania!!Duh! 17B?
Material ya ujenzi yamepanda sana kutokana na kupaa kwa dola! Wwe fikiria ukiwa na ka dola mia tu unapewa karibu laki tatu za kitanzania!!
Mkuu pamoja na maelezo yako mazuri ila bado! Tutafari pamoja ukubwa wa B17 na ukubwa wa daraja linaloonekana!Material ya ujenzi yamepanda sana kutokana na kupaa kwa dola! Wwe fikiria ukiwa na ka dola mia tu unapewa karibu laki tatu za kitanzania!!
Kwa mtindo huu wacha wasomi wapigane vikumbo kugombania kazi serikalini...Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Hili ndio daraja la 17bn?kweli ccm majambazi ya mchana kweupeMbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Mkuu unajua kwenye Billion kuna Million ngapi..!!?Bil 17 ingeweza kujenga madalaja si chini ya 9 ya namna hiyo kwani kiukweli dalaja hilo kiuaminifu halizidi bil 1.5.
Millioni 17 hapana.Ni milioni 17, hapo hakuna bilioni, tumepigwa tena.
Watu jamani! Yaani kweli B17?Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231