Jerry Slaa akagua daraja la Bilioni 17 jimboni kwake

Jerry Slaa akagua daraja la Bilioni 17 jimboni kwake

Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Asante
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Duh! 17B?
 
Material ya ujenzi yamepanda sana kutokana na kupaa kwa dola! Wwe fikiria ukiwa na ka dola mia tu unapewa karibu laki tatu za kitanzania!!

Material ya ujenzi yamepanda sana kutokana na kupaa kwa dola! Wwe fikiria ukiwa na ka dola mia tu unapewa karibu laki tatu za kitanzania!!
Mkuu pamoja na maelezo yako mazuri ila bado! Tutafari pamoja ukubwa wa B17 na ukubwa wa daraja linaloonekana!
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Kwa mtindo huu wacha wasomi wapigane vikumbo kugombania kazi serikalini...
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Hili ndio daraja la 17bn?kweli ccm majambazi ya mchana kweupe
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Watu jamani! Yaani kweli B17?
 
Back
Top Bottom