Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ccm oyeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm oyeeee
Sio 7 ni 17Labda 0.6B hizo 7B wazirudishe
Hii labda ni typing error wakimaanisha 1.76b ila Hilo sio Daraja la bil.17.6Mambo yasiwe mengi, muda usiwe mwingi, kama una bando ANGALIA picha hio hapo, Daraja la kisasa kabisa lililojengwa hapo Ulongoni B - Ukonga Dar es Salaam.
Shukrani sana Kwa mkandarasi.
Hii ni taarifa sio Mjadala
View attachment 2786292
Hata Mimi nahisi wamekosea sana sana ni 1.76 b sio Bilioni 17 haiwezekaniNahisi tarakimu zimekosewa kuandikwa,hakuna daraja la bilion 17 hapo.
Kwani Magufuli hakupigwa? Si Bora Sasa hata vyombo vinaripotiKuna muda Mama wa Taifa atakuwa anakaa na kumkumbuka sana Magufuli.
Wateule kazini.Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Mpigaji mwenza kwenye ubora wakoKwani Magufuli hakupigwa? Si Bora Sasa hata vyombo vinaripoti
Hakuna cha labda. Nyie endeleeni kusifu huku jukwaani wenzenu wanakomba mpaka mboga *****Hii labda ni typing error wakimaanisha 1.76b ila Hilo sio Daraja la bil.17.6
Sheikh ukinisahau unahama mji huu🤣🤣Hii ndio inaitwa kula kwa urefu wa kamba, kuna tenda naifukuzia sehemu, ikitiki ,mtakuja km hv ,ila wkt mie niko Ibiza na kula kuku😂😂
Sijawahi sapoti mambo ya kipuuzi,ukiona nasapoti jambo ujue liko vizuri.Mpigaji mwenza kwenye ubora wako
Endelea na mapambio ya sauti ya kwanza🤣🤣🤣mpaka msemeKumhusisha Rais na mambo ya upigaji wa watu ni ufala.
Rais hayuko huko site kusimamia Kila mradi,huko Kuna Takukuru, usalama wa Taifa,Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Wilaya,Wabunge na Watu wengine kwenye administration kama Ras.
Kama ni kweli Hilo Daraja Lina hiyo thamani wahusika hapo washughulikiwe kuanzia taasisi iliyosimamia huo ujenzi kama ni Tarura au TanRoads Kwa sababu katika Hali ya kawaida hakuna Daraja la Bilioni 17 hapo.
Labda waeleze activities zipi hasa zilizopelekea gharama kuwa kubwa hivyo tujirodhishe.
Piga shaba kama mchina.Milioni 17 unayosema nakataa ni ndogo, ila pia kamwe haiwezi fika bil 17!.
Ilitakiwa tuwe na sheria KALI za kushughulika na wahuni kama hawa wanaotupiga mchana kweupee kana kwamba Watz wote ni mafala!!.
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231
Tupe maana ya kauli kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake......Kumhusisha Rais na mambo ya upigaji wa watu ni ufala.....
Kwani wewe huna ukomo wa mambo Yako? Ukiwa una salary unataka ule Kwa ukomo wa salary ya nani Sasa.Tupe maana ya kauli kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake......
Jambo la pili, unatetea ujinga mno
Wahuni wanafugwa na baba yao CCM wewe utawaambia nini.Milioni 17 unayosema nakataa ni ndogo, ila pia kamwe haiwezi fika bil 17!.
Ilitakiwa tuwe na sheria KALI za kushughulika na wahuni kama hawa wanaotupiga mchana kweupee kana kwamba Watz wote ni mafala!!.